Ladies..u rejected him when he had nothing..

Ladies..u rejected him when he had nothing..

Muhudumu ongeza mbili ingine hapa, kama haukupangiwa awe wako haukupangiwa tu.
Hizi biashara za Mungu hakukupangua hizi.
So ukiolewa na jamaa then full kipigo so Mungu alikupangia ukale vipigo huko??
Please embu Embu mpunzisheni Mungu. Haya yote ni machaguzi yetu binadamu na tamaa zetu wala.Mungu hausiki. Ndio maana kuna walioolewa na majambazi na wachawi so Mungu alikupangia hivyo even if wewe ulikuwa decent.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I am not Entertaining Her Kabisa. Simu yangu hana namba kabisa.

HUnimendea sehemu ambazo anajua ntaenda tu , mfano Kanisani, Sokoni, Carwash etc.

Akinipata huko ndio hutumia nafasi hiyo kusema yake, namsikiliza kisha naondoka namwambia ngoja nimuwahi Mke Wangu Mtarajiwa.

Ndugu Mimi ni Mwepesi sana kusamehe.

Ndugu asante kwa kunitia Moyo

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
Baba huo msemo wako Wa mwisho. "Hii simu no hii, sio ile" nimeukubali.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi biashara za Mungu hakukupangua hizi.
So ukiolewa na jamaa then full kipigo so Mungu alikupangia ukale vipigo huko??
Please embu Embu mpunzisheni Mungu. Haya yote ni machaguzi yetu binadamu na tamaa zetu wala.Mungu hausiki. Ndio maana kuna walioolewa na majambazi na wachawi so Mungu alikupangia hivyo even if wewe ulikuwa decent.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu na Imani yake Mkuu tuheshimiane katika hilo.
 
Uvumilivu na kusimamia unachokiamini na kukihitaji kwa dhati ni TUNU.
 
To these girls the one who give them everything is the one who make them happy
 
Daaah alinitumiaga SMS kwenye "Siemens C25 a.k.a Twanga Pepeta" yangu akisema, "Wewe nenda kapendwe na Mama Ako, Hauna kitu hakuna mwanamke wa kuwa na wewe". Nakumbuka neno kwa neno, iliniuma saaaana sana nililia, sikula chakula, nilikonda sana, moyo uliteseka sana.

By then yuko na Sponsor mume wa mtu, dingi wa wizarani.

Nikamsihi sana anivumilie najichanga tuje tuzile na watoto wetu, akanijibu, " maisha ni mafupi, sina muda na maskini"

Leo lazima anisalimu Mara tatu kama dosage ya Paracetamol daily, hajali hata nisipojibu. Ananiomba Japo nimuajiri.

Dah hii maisha hii

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
hongera mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom