Ladies..u rejected him when he had nothing..

Ladies..u rejected him when he had nothing..

Yani acha tu hata nikiwahi kuamka baadae lazima nitalala tena..........mbona nilishatafuta boyfriend ila kwa sasa sitaki tena
Haha Jmn hyo mbna nliikosa asee...

Bas ukihitaj ntapatkana mda wowote ule!!

rap beast
 
Kweli kabisa miss...yaani mwanaume maskini akikutongoza ukamkatalia ni shida unaonekana unamnyanyapaa. Kama unapendwa utapendwa tu hata kama unakaa kwa mshikaji wako aliyepanga chumba kimoja uswahilini

Sent using Jamii Forums mobile app
Khantwe mimi ni mwanaume maskini Samahani naomba nikutongoze, utanikatalia au utaninyanyapaa kwani??
35e7d6d1f7a2214a00bae7f26eb6313c.jpg


Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
 
kuna mwanamke alinizingua kipinndi sia kitu ila nipo naye saizi na yeye na msomesha namba alipie gharama ya kuisumbua.
 
Mm wangu alinitosa nliposimamishwa kazi, nimepata kazi nyngine ananitafuta mara babby babby wakati nshaweka mwngine ndani mamaee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Pile bro more88

May Allah bless Me and You
 
Daaah alinitumiaga SMS kwenye "Siemens C25 a.k.a Twanga Pepeta" yangu akisema, "Wewe nenda kapendwe na Mama Ako, Hauna kitu hakuna mwanamke wa kuwa na wewe". Nakumbuka neno kwa neno, iliniuma saaaana sana nililia, sikula chakula, nilikonda sana, moyo uliteseka sana.

By then yuko na Sponsor mume wa mtu, dingi wa wizarani.

Nikamsihi sana anivumilie najichanga tuje tuzile na watoto wetu, akanijibu, " maisha ni mafupi, sina muda na maskini"

Leo lazima anisalimu Mara tatu kama dosage ya Paracetamol daily, hajali hata nisipojibu. Ananiomba Japo nimuajiri.

Dah hii maisha hii

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
IMG_20170401_112003.jpg

Kama HII?
Pole sana

May Allah bless Me and You
 
Back
Top Bottom