Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
- Thread starter
- #41
.........Kama sio wewe basi weka picha yako lol.
Nicheki kwenye PM....
Halafu siku hizi hata hupokei simu zangu.....
.........Kama sio wewe basi weka picha yako lol.
Sasa Kiranga watu watadhani huyo kwenye picha ndio mimi...
Halo halo halo.I wish kama ningekuwa mdada ningeshiriki kwenye hili shindano..Shindano linahusu nini?likoje?
Trend ya mitundiko humu ndani hivi sasa inaonekana kuna maboflo kibwena.lol. Ati unasema ungeenda, ungeenda wapi?
Sasa umekuwa mwanamke? We si kidume? (chokomchongoma).. Ni hii vipi?
Makubwa haya!!
Oo girl look at you, bet you ain't know that I be checking you out when you be putting your heels on
So what's really good?
Sasa Kiranga watu watadhani huyo kwenye picha ndio mimi...
Vigezo ni kama ifuatavyo:
-Umri kati ya miaka 25-32
-Urefu kati ya 5'3 - 5'8
-Complexion yoyote ile
-Dini yoyote
-Elimu ya chuo kikuu (GPA isiwe chini ya 3.0)
Kijana una vigezo vigumu wewe sidhani mpaka sasa kama kuna mtu kajitokeza labda Da Sophy peke yake
Vigezo ni kama ifuatavyo:
-Umri kati ya miaka 25-32
-Urefu kati ya 5'3 - 5'8
-Complexion yoyote ile
-Dini yoyote
-Elimu ya chuo kikuu (GPA isiwe chini ya 3.0)
nafit hapo lakini nimeolewa sasa inabd umtafute da sophy
Una marafiki walio singo?
Vigezo vyote ninavyo -married status hahahahaha...utapata tu usijariReally? But wait a minute...let's put things into perspective here. Are you trying to tell me most of the ladies in here are under 5'3 in height? And I said any complexion...dark, caramel, lighskinned, red bone, yellow bone etc....yaani hakuna hata mmoja mwenye rangi yoyote ile? Na ina maana wengi wenu humu vilaza wa kutupwa na hakuna hata wawili watatu waliofika chuo na kuhitimu na GPA ya 3.0? Na dini nimesema yoyote ile hata wasio na dini. Umri na wenyewe nimeweka range ya kati ya 25-35 unless uniambie nyie wote humu ni vibibi mlio kwenye menopause tayari au bado mko chini ya 25.....It's amazing to say the least
Halo halo halo.I wish kama ningekuwa mdada ningeshiriki kwenye hili shindano..Shindano linahusu nini?likoje?
wapo lakini hawana vigezo vyote, lakini mbona we waonekana kama urefu ni 3 to 4" hivi?
Vigezo ni kama ifuatavyo:
-Umri kati ya miaka 25-32
-Urefu kati ya 5'3 - 5'8
-Complexion yoyote ile
-Dini yoyote
-Elimu ya chuo kikuu (GPA isiwe chini ya 3.0)
Nyani kwani wewe na kelly mliishia vipi???mlikuwa na a lot of chemistry jamaniii...