LADIES, Before you date a MARRIED MAN you should know this: (Must read and share)

LADIES, Before you date a MARRIED MAN you should know this: (Must read and share)

Wenye macho na wameona ila kwakuwa ni sikio la kufa wataona kama wameona matangazo ya ukimwi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Waambie hao!!unangangana na mume wa mtu bila haya unamuweka bb profile ivi ni ulimbukeni!!aibu mjini madada!!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
sasa mbona unanigusa mimi na hiyo post yako aisee.... nimeoa lakini huwa natoa maneno matam matam kwa bibie wa nje na ukweli mimi ninachotaka kwake huwa ni utam tu na hakuna cha zaidi maana kitabia mke wangu nampa 100%. so huyu kibwengo acha nifaidi utamu tu

Na hayo ndo madhara mnayopata mnaooa kwa kigezo cha tabia tuu mnaishia kuparua parua nje ka kuku wa kinyeji mara kumi wanaojilipua kuoa kwa kigezo cha utam sasa hao ndo wametulia zao kama kuku wa kisasa bandani wanajilia vyao bila kuibiabia
 
[/B][/COLOR]

All these are facts but others are more strong facts than the others,

This is the true findings and will remain as it is forever.

I do know what is wrong with we people, we should always learn to agree on the reality.

It is not easy at all to take husband of someone to be yours, that is a day dream of a fake dream.

it is true kabisa, always people don't want to accept the reality!
 
we unataka bure??sema2
Kwani mpaka useme BURE kwani wewe husikiagi raha? Hiyo raha we kwani unailipia? Sishangai utataka nikulipe wakati nikikuwekea hayo makitu tu unageuza macho ka umezimia kwa raha halafu nikulipe... HAYA, mi nataka kwa kukulipa raha utakayoipata

Wengine mwatulipisha utadhani tunaondoka nayo
 
How about a young lazy man a.k.a Marios or just supper intelligent and wealth young man dating a married woman? Can this married woman takes a position of married man? Just changed pronouns in the just thread by Mujumba (she for he)? Two way traffic!!
 
Back
Top Bottom