Daniel Myl
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 535
- 270
What if they like it?
Kama mwanaume anacheat hapo jibu ni moja tuuu hapendwi mke wala hicho kichenchedee cha nje
Yani achakachue huko weee kisa mwisho wa siku anarudi kwa mkewe ndo unaconclude anampenda!!???ukiskia umathafantaa ndo huo
sasa mbona unanigusa mimi na hiyo post yako aisee.... nimeoa lakini huwa natoa maneno matam matam kwa bibie wa nje na ukweli mimi ninachotaka kwake huwa ni utam tu na hakuna cha zaidi maana kitabia mke wangu nampa 100%. so huyu kibwengo acha nifaidi utamu tu
ndege wanaofanana huruka pamoja! huyo kibwengo kaona kibwengo mwenzie kaamua kutembea nae
I like that words iz real touch my heart and a real ladies works hard and get their own money
Kibwengo mtamu kuliko mke wake!! Mke wake anapika vizuri na kuamkia kwa adabu lakini si mtamu kama kibwengo!
Do you think this will deter women from sleeping around with married men?