The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Inategemea ni muda gani tumekutana ....sio tukutane jana na leo utake kunigegeda aah wapi!..
Kingine wanaume muandae mazingira ya kimapenzi kabisa kabla ya mimi kuja gheto kwako ili nikija niwe nimejindaa with mind and body kwamba leo naenda kutombwa.
Kosa mnalofanya hamtuandai kiakili mapema hamna ubunifu wa sex talk....utakuta mwanaume anakwita sehemu, mnakula,mnakunywa na kucheka then we taratibu unaenda kuchukua chumba bila ya kuniambia..unakuja sema tuamie chumbani inahusuu? Ntakutolea mbavuni tu.
Muambiwe miezi sita Kabla?mi nakuambia mwaka Mzima Kabla lol