Ladies and lovemaking

Ladies and lovemaking

Asee kufanya mapenzi usidhani ni kuvua tu na kupiga push up....

There is more to it....lol!

Umejaribu kuconsider the effect that your decision iz going to have on him, and the both of you?
 
Ili uwaelewe wanawake na tabia zao inabidi uwe makini sana

Kimaumbile wanawake huwa mara nyingi wanapokuonesha kukataa huwa ni kinyume hasa kwenye mambo haya

Siku moja nilikuwa nyumbani na pale nyumbani kuna jamaa anafuga bata

Nikiwa nimekaa natafakari mambo tofauti tofauti mara bata dume akaja anamkimboza bata jike

Bata jike alikimbia sana na mwishowe akasimama na kupandwa
Baada ya hilo tukio nilianza kutafakari sana sababu ya bata jike kukimbia halafu baadae kukubali kirahisi

Nilikumbuka video mbali mbali za wanyama nilizowahi kuangalia nyakati wakitaka kuingiliana huwa ni hivyo pia yaani ni lazima jike lilete ukorofi kwanza hata kama lenyewe ndilo lilimfuata dume

Hebu chukulia mfano kuku,jogoo linaweza kumuita kwa mbwembwe nyingi na mtetea likaja [usidhani kuwa halijui limeitiwa nini] na jogoo likitaka kupanda mtetea huanza mbio .......... inashangaza eeeehhhh

Kimaumbile wanawake ndivyo walivyo

Wakiwa na uhitaji wa jambo hili ni lazima waoneshe kama hawataki hadi wewe mwanaume uoneshe "uanaume wako"

Ukijidai eti wewe ni mstaarabu inakula kwako,hulambi na akitoka hapo huenda kusema huko "aaah fulani hakuna kitu"

Sijui Mungu amewaumbaje tu hawa watu

Ni mara chache sana hawaoneshi ukorofi
Lakini ni mara chahce pia huonesha kutokutaka kweli

Hao ndio wanawake bana!

Hahahahaha kweli kabisa mkuu. Hiyo nataka staki huwa ni kitu cha kawaida sana.

Ina maana, inapotokea kuwa umetumia kila mbinu, sexual seduction, kumbembeleza na hata some violence included; alafu bado anakataa ni kwamba hataki kweli?!
 
mi sijibugi akiongea nampa ma reds hapo naunda kitu namoka nampulizia moshi akicheka ajue yupo la nne afu bado naitafute sayari ya jupiter kwa spidi ya ajabu

Unatumia alternate njia au sio?
 
Kwanini usijiulize haya masali kabla hujaja home?

Sure. Yani hicho ndo kinachouma. Uko kwangu. Alafu tupo halfway kuanza ndo unasitisha mechi. Werent you supposed to confirm maamuzi yako kabla hujaja?

Maji ukishayavulia nguo kuna jingine tena hapo?
 
Mwanamke mstaarabu na anayejitambua haezi kupa papuchi kirahisi kwa mara ya kwanza,lazima uoneshe uwanaume wako in advance.Haiba ya mwanamke ni hayaa na aibu tena kwa mtu asiyemzoea sana,na kwenye yale mambo ndio kabisaaaaa....Ukikutana ambaye mumefika ghetto mara ya awali anavua pichu kirahisi hapo pana walaakin mkuu.
 
Kwa sisi wanandoa huwa hakuna kitu kama hicho...

Wazinzi pekee ndio mnaoeksipiriensi mambo hayo, hivyo acha uzinzi, oa mwanamke na umuweke ndani uondokane na utumwa wa ngono...

Me nadhani hata wanandoa walipitia haya.
Labda kwa wale ambao hawakufanya mpaka ndoa, na kama na wewe ni miongoni mwao basi unaweza ukashare experience yako hapa......ilikuwaje the first time mmeingia chumbani, mlikurukusana au mlipeana kiulaini?.
Ila kwa sisi wa kizazi cha shake well before use haya lazima yakukute.
 
Hahahahaha kweli kabisa mkuu. Hiyo nataka staki huwa ni kitu cha kawaida sana.

Ina maana, inapotokea kuwa umetumia kila mbinu, sexual seduction, kumbembeleza na hata some violence included; alafu bado anakataa ni kwamba hataki kweli?!
Wapo ambao wanakuwa hawataki kweli lakini hii hutokea mara chache sana tena sana

Ila kawaida huwa ni sitaki nataka tu

Mtu anatoka kwao anaoga anakuja "gheto" na anajua kabisa kuwa anakuja "kuchinjwa" na anajiandaa hivyo [hili nina uhakika nalo kwani nilishafanya utafiti]

Lakini cha ajabu ni hadi 'tenki" ndio "anatoa"

Mwanzoni nilidhani ni wato wasichana ndio wana hizi lakini nilikuja kugundua hata wale mature nao wana hii kitu

Wanawake bana acha tu!!!!!!
 
Sure. Yani hicho ndo kinachouma. Uko kwangu. Alafu tupo halfway kuanza ndo unasitisha mechi. Werent you supposed to confirm maamuzi yako kabla hujaja?

Maji ukishayavulia nguo kuna jingine tena hapo?

Shangaaq na wewe mdugu yangu!!!!!!
 
Kwa sisi wanandoa huwa hakuna kitu kama hicho...

Wazinzi pekee ndio mnaoeksipiriensi mambo hayo, hivyo acha uzinzi, oa mwanamke na umuweke ndani uondokane na utumwa wa ngono...

Ni kweli kabisa mkuu. Asante kwa ushauri.
 
Kwa sisi wanandoa huwa hakuna kitu kama hicho...

Wazinzi pekee ndio mnaoeksipiriensi mambo hayo, hivyo acha uzinzi, oa mwanamke na umuweke ndani uondokane na utumwa wa ngono...

Uzinzi ni nini?
 
Hili linaweza kuwa kweli kwenye situation mbalimbali

Lakini HAKUNA narudia tena HAKUNA mwanamke ambae atakuja "gheto" halafu akupe tu kilaini

Ni mara nyingi sana kila kitu kinakuwa "sawa" na mnagoma hadi "tenki" litumike kidogo

Kwanini?
Mimi bora nijivunge kwenye msosi sio mgegedo....kama nimepanga kufata dushe no kujivunga asee
huo ni utoto, labda nikutane na hizo vitu viniondolee mzuka
otherwise niwe nimeamua kumkomesha tu mtu, kuna mtu alikuwa ananiona kama ye ndo anamiliki mie miaka mia
anahisi nampenda kuliko hela, tulishaachana lakini anajifanya kuomba kama mi dem wake
nilishaenda geto mara 3 we kiss then nasepa anabaki tu kasimamisha nguzo yake
ptyuuuu atundike koti kama ye kidume
 
Ukitaka kuingia ndoani huwa kuna mafunzo chungu tele ambayo mwanamke au mwanaume hupewa juu ya suala zima la tendo la ndoa...

Yawe mafunzo ya kimila au ya kidini yote huwaambia wanandoa watarajiwa kuwa wasinyimane na jukumu kubwa kwa wenzi wao ni kuhakikisha wanaridhishana kingono...

Narudia tena kwa wanandoa hili si suala la kujadili unless uwe umeoa au umeolewa na mtu ambaye hukupendana naye...

Me nadhani hata wanandoa walipitia haya.
Labda kwa wale ambao hawakufanya mpaka ndoa, na kama na wewe ni miongoni mwao basi unaweza ukashare experience yako hapa......ilikuwaje the first time mmeingia chumbani, mlikurukusana au mlipeana kiulaini?.
Ila kwa sisi wa kizazi cha shake well before use haya lazima yakukute.
 
Kwa sisi wanandoa huwa hakuna kitu kama hicho...

Wazinzi pekee ndio mnaoeksipiriensi mambo hayo, hivyo acha uzinzi, oa mwanamke na umuweke ndani uondokane na utumwa wa ngono...
Kumbe uliiona ukiwa ndani ya ndoa hongera
wengine wanauziwaga mbuzi kwenye gunia wakifika nyumbani haipo
 
Mimi bora nijivunge kwenye msosi sio mgegedo....kama nimepanga kufata dushe no kujivunga asee
huo ni utoto, labda nikutane na hizo vitu viniondolee mzuka
otherwise niwe nimeamua kumkomesha tu mtu, kuna mtu alikuwa ananiona kama ye ndo anamiliki mie miaka mia
anahisi nampenda kuliko hela, tulishaachana lakini anajifanya kuomba kama mi dem wake
nilishaenda geto mara 3 we kiss then nasepa anabaki tu kasimamisha nguzo yake
ptyuuuu atundike koti kama ye kidume

Duuh! Kumbe this stuff exists??!
 
Mimi bora nijivunge kwenye msosi sio mgegedo....kama nimepanga kufata dushe no kujivunga asee
huo ni utoto, labda nikutane na hizo vitu viniondolee mzuka
otherwise niwe nimeamua kumkomesha tu mtu, kuna mtu alikuwa ananiona kama ye ndo anamiliki mie miaka mia
anahisi nampenda kuliko hela, tulishaachana lakini anajifanya kuomba kama mi dem wake
nilishaenda geto mara 3 we kiss then nasepa anabaki tu kasimamisha nguzo yake
ptyuuuu atundike koti kama ye kidume

Hii haipo huko unakoishi

Ipo hapa JF tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom