Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Kitendo cha kufanya ngono na mtu ambaye si mume au mke kisheria...
Kwa mujibu wa sheria gani?
Kitendo cha kufanya ngono na mtu ambaye si mume au mke kisheria...
Hata mi nilidhani kuna baadhi ya mahali nikiingia sitoki
kumbe nikitoka na sikurudi tena....
Kama hisia zimebadilika, na mawazo yamehama no wayThere is more to it....lol!
Umejaribu kuconsider the effect that your decision iz going to have on him, and the both of you?
Hongera, ila kama unabisha sema , wote si tupo?
Ukitaka kuingia ndoani huwa kuna mafunzo chungu tele ambayo mwanamke au mwanaume hupewa juu ya suala zima la tendo la ndoa...
Yawe mafunzo ya kimila au ya kidini yote huwaambia wanandoa watarajiwa kuwa wasinyimane na jukumu kubwa kwa wenzi wao ni kuhakikisha wanaridhishana kingono...
Narudia tena kwa wanandoa hili si suala la kujadili unless uwe umeoa au umeolewa na mtu ambaye hukupendana naye...
Hii haipo huko unakoishi
Ipo hapa JF tu!
Naona unataka nibet papuchi yangu akuuuuuu....
Kwanini usijiulize haya masali kabla hujaja home?
Kama hisia zimebadilika, na mawazo yamehama no way
siwezi kujilazimisha asee ntajimwagia hata tomato niseme nimesafiri safari ya kijografia kuelekea angani
no plzzzzzz
Ukija na kuanza kuvua its a little bit weird, but works fine. Kujifanya kukataa is fine, sababu unanipa motisha ya kupasua ubongo hadi nikushawishi, unipe!
Sasa hawa wanaokataa moja kwa zote yani piga ua ndo hivyo tena....inakuwaje?
Oh...anxiety ndo inasababisha hivyi eh?! So solution ni mwanaume kukuondoa the anxiety au sio?!
Ushaanza baba paroko kulazimisha unachokijua wewe
Mi nilivokuambia ndo hivo...
Ndo hapo sasa...
Reason kubwa: ni kukutana na kitu ambacho hakikuwa expected ( Mai expiriensi)
Nakutana na mkaa mzuri kichizi nampania ile mbaya nahisi game yake itakuwa tight mbaya
nikikaa chumbani muda wote napasha weee nakata viuno, najifua kwa ajili ya hiyo siku
siku ya kukutana na jamaa sasa ananuka jasho ile mbaya, labda zimepita days kadhaa basi mindevu imeota amekuwa kama
kabeba kiota cha ndege hapo kidevuni afu mchafu, okay nimejitutumua kupapasa mdoli wake nakuta kitu sikutegemea
nilijipanga kukutana na kitu imara kama kama simba uuh baada ya kuchezea weee kitu size ya msokoto wa bangi
afu kimekaa kimdebwedo tu....
kwa hizo situation kuna mzuka tena?nakuuliza wewe ulieuliza swali
Kaka, Mwali hajambo?
Kwahiyo Eiyer which is the best method ya kumfanya akupe??
You don't understand hivi vitu asee bad enough you are a manDuuuhhh....huwezi labda kudeal na expectations zako, kujiweka open and ready for any and every thing?