GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,550
- 108,882
"Mwandishi wa habari asiposoma vitabu 12 kwa mwaka huyo sio Mwandishi wa habari, na hili ni tatizo la watanzania wengi, watanzania hatupendi kusoma vitabu na tunapenda kujua, Mwandishi lazima afahamu kuwa habari anayoandika au kutangaza ajue kuna watu wanajua zaidi yake, kwahiyo ni lazima kusoma angalau kitabu kimoja kwa mwezi ".- Jenerali Ulimwengu
Habari Star TV Tanzania
Kama Mwandamizi wangu katika Tasnia alikuwa akiwaambia wa Kitanzania amepoteza muda wake. Labda viwe ni Vitabu vya Umbeya watasoma.
Habari Star TV Tanzania
Kama Mwandamizi wangu katika Tasnia alikuwa akiwaambia wa Kitanzania amepoteza muda wake. Labda viwe ni Vitabu vya Umbeya watasoma.