Uwezo wa kufikiri wananchi wa Kenya, Rwanda na Uganda uko juu hapa Afrika Mashariki

chotera

JF-Expert Member
May 19, 2016
6,305
15,034
Wakuu,

Katika kutembea huku na kule kwa hapa Afrika mashariki nimejaribu kupima uelewa wa wananchi wa karibu nchi zote naona wakenya wanaongoza halafu waganda na wanyarwanda hufuatia.

Kwanza naangalia vijana wa hizo nchi kila utakapokutana nao kwenye utafutaji basi mnakua tofauti kabisa kwa mfano ukimkuta mkenya, mganda na mnyarwanda pale afrika kusini, basi wengi wao wameajiriwa kwenye makampuni au wanamiliki kampuni zao au wanabiashara zao wanapambana nazo na sio biashara za madawa ya kulevya au wizi kama wabongo.

Mataifa hayo pia yako mbele kwenye teknolojia kuliko kawaida na hiyo huwafanya kupenya sehemu nyingi kwenye mataifa mengine ndani ya afrika mashariki na kupiga pesa isio ya kawaida.

Ukijaribu kuangalia hata viongozi wao miradi wanayatekeleza kuanzia barabara, flyovers, viwanja vya ndege, shule zao wanajenga kweli vitu vya kueleweka hapo utajua kabisa jamaa hao wako serious sana na maisha.

Kundi linalofiatia kwa uwezo wa kufikiri kuanzia wananchi hadi viongozi wao ni Tanzania, Burundi, Sudani kusini, Congo DRC, hao ndio wale wa vuta ni kuvute, yaani kuna muda fikra zinakuepo na kuna muda zinapotea na mataifa hayo ndio utajionea maajabu yaani hata wananchi wake hufuatilia sana mambo yasiyo na umuhimu kwenye maisha ya kila siku yaani wanasubiri kudra za mwenyezi Mungu.

Mfano: maswali utakayoulizwa na mwandishi wa habari wa kenya, Rwanda na Uganda lazima yawe na logic sana lakini waandishi wa kundi la pili ukisikiliza mahojiano yao zaidi ya kuchekacheka na kuuliza petty questions hamna cha zaidi.
 
Wakuu,

Katika kutembea huku na kule kwa hapa Afrika mashariki nimejaribu kupima uelewa wa wananchi wa karibu nchi zote naona wakenya wanaongoza halafu waganda na wanyarwanda hufuatia.

Kwanza naangalia vijana wa hizo nchi kila utakapokutana nao kwenye utafutaji basi mnakua tofauti kabisa kwa mfano ukimkuta mkenya, mganda na mnyarwanda pale afrika kusini, basi wengi wao wameajiriwa kwenye makampuni au wanamiliki kampuni zao au wanabiashara zao wanapambana nazo na sio biashara za madawa ya kulevya au wizi kama wabongo.

Mataifa hayo pia yako mbele kwenye teknolojia kuliko kawaida na hiyo huwafanya kupenya sehemu nyingi kwenye mataifa mengine ndani ya afrika mashariki na kupiga pesa isio ya kawaida.

Ukijaribu kuangalia hata viongozi wao miradi wanayatekeleza kuanzia barabara, flyovers, viwanja vya ndege, shule zao wanajenga kweli vitu vya kueleweka hapo utajua kabisa jamaa hao wako serious sana na maisha.

Kundi linalofiatia kwa uwezo wa kufikiri kuanzia wananchi hadi viongozi wao ni Tanzania, Burundi, Sudani kusini, Congo DRC, hao ndio wale wa vuta ni kuvute, yaani kuna muda fikra zinakuepo na kuna muda zinapotea na mataifa hayo ndio utajionea maajabu yaani hata wananchi wake hufuatilia sana mambo yasiyo na umuhimu kwenye maisha ya kila siku yaani wanasubiri kudra za mwenyezi Mungu.

Mfano: maswali utakayoulizwa na mwandishi wa habari wa kenya, Rwanda na Uganda lazima yawe na logic sana lakini waandishi wa kundi la pili ukisikiliza mahojiano yao zaidi ya kuchekacheka na kuuliza petty questions hamna cha zaidi.
Wamegundua kitu gani ambacho ni msaada kwa nchi zako?
 
Naunga mkono hoja, tatizo letu sie huku tuko bize kushabikia ujinga wa kina Diamond anavyocheza na nyota za wasanii wa kibongo wasiojitambua huku akiwaachia laana na mikosi maishani mwao na kushabikia wabunge warukao serekasi na kulia bungeni.
 
Naunga mkono hoja, tatizo letu sie huku tuko bize kushabikia ujinga wa kina Diamond anavyocheza na nyota za wasanii wa kibongo wasiojitambua huku akiwaachia laana na mikosi maishani mwao na kushabikia wabunge warukao serekasi na kulia bungeni.

tuko busy na issue ndogo ndogo
 
Labda ungeongea kwa mifano dhahiri siyo kupiga blaa blaa za waandishi wa habari. Vinginevyo hoja yako haina mashiko
 
Umeangalia upande mmoja tu wa 'personal strugling' haukuangalia 'society construction's' Jambo ambalo wa tz wameliweza kwa kiwango kikubwa. Kwahiyo unaweza kuchagua. "Uende peke yako ufike mbali au muende kwa pamoja mfanikiwe'!
 
Naunga mkono hoja, tatizo letu sie huku tuko bize kushabikia ujinga wa kina Diamond anavyocheza na nyota za wasanii wa kibongo wasiojitambua huku akiwaachia laana na mikosi maishani mwao na kushabikia wabunge warukao serekasi na kulia bungeni.

Bila kusahau kutetemesha CHURA kwa wanawake zetu,Tanzania vichwa vyetu vinawaza ngono tuuu
 
Naunga mkono hoja, tatizo letu sie huku tuko bize kushabikia ujinga wa kina Diamond anavyocheza na nyota za wasanii wa kibongo wasiojitambua huku akiwaachia laana na mikosi maishani mwao na kushabikia wabunge warukao serekasi na kulia bungeni.
Ni vile amesahau kusema TUNAAMINI KATIKA USHIRIKINA ZAIDI KULIKO KUAMINI KATIKA KUJITUMA ZAIDI
 
Back
Top Bottom