Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,175
- 48,459
Kama nchi ikiongozwa kwa falsafa za Kishoshalisti, kikomunist na kijamaa laana zifuatazo huwa ni sehemu ya maisha ya jamii husika.
Viongozi hulazimisha kuabudiwa.
Vyombo vya dola hugeuka kuwa kandamizi Kwa wananchi.
Viongozi hugeuza mfumo kuwa wa kifalme.
Wananchi wa kawaida hufukarishwa wakati viongozi hujilimbikizia mali watakavyo.
Jamii nzima hugeuzwa mandondocha wa viongozi.
Usilete mfano wa china hapa maana china inafuata sera za ubepari baridi.
Viongozi hulazimisha kuabudiwa.
Vyombo vya dola hugeuka kuwa kandamizi Kwa wananchi.
Viongozi hugeuza mfumo kuwa wa kifalme.
Wananchi wa kawaida hufukarishwa wakati viongozi hujilimbikizia mali watakavyo.
Jamii nzima hugeuzwa mandondocha wa viongozi.
Usilete mfano wa china hapa maana china inafuata sera za ubepari baridi.
