Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Kuna shule inaitwa Sumaye ina jengo moja la darasa ila wanafunzi wapo mpaka darasa la tatu!!
jama!jama!mtu akichukiwa atabebeshwa mzigo na usio wake,hivi kweli jina ndo lisababishe watoto wafeli?na siyo kwamba watoto wenyewe ni vilaza?
Wawap wewe,mwenye jina si alikuwa mwalimu uliza kwanini aliacha job...................alibaka dentiIla watoto wamechemka hakuna uhusiano wowote na jina la shule, sema serikali ifanye juhudi mbadala kurekebisha mambo.