MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
Hivi kuna shule inaitwa Julius Kambarage Nyerere, Wilbroad Slaa au Cleopa Msuya tuone matokeo yake??? Nimeamini jina la shule ndilo linazaa matokeo ya wanafunzi wake.
Watoto wote wanaosoma shule inayoitwa Rostam Aziz watakuwa mafisadi na watapass masomo yao kwa kuchakachua!!!!!!! hapana kwa kudesa!!!!!!!!!
Watoto wote wanaosoma shule inayoitwa Rostam Aziz watakuwa mafisadi na watapass masomo yao kwa kuchakachua!!!!!!! hapana kwa kudesa!!!!!!!!!