Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kitendo cha Rayvanny na Diamond kufika mbeya kulifanya wana mbeya kuchanganyikiwa kwa furaha ila Baada ya diamond kuondoka kaacha maumivu.
Uwanja wa mbeya wa sokoine kwa sasa umeharibika sana, Timu ya mpira ya prisons mbeya ilitakiwa icheze na yanga katika uwanja huu ila haitawezekana badala yake timu hizo zitachezea uwanja wa iringa.
Mashabiki walijaa wengi sana uwanjani, wakati huo huo mashabiki zaidi ya elfu 5 walikuwa nje ya uwanja kwa kukosa nafasi.
Ni rekodi nzuri kwa diamond kujaza uwanja namna hii katika historia ya mbeya lakini kafanya shughuli za uwanja zisimame mwezi mzima kwa uharibifu uliofanywa na nyomi la mashabiki wake.
Masharti yakazwe katika kumkodisha diamond viwanja vya matamasha maana anajaza sana watu wanaopelekea uharibifu
Uwanja wa mbeya wa sokoine kwa sasa umeharibika sana, Timu ya mpira ya prisons mbeya ilitakiwa icheze na yanga katika uwanja huu ila haitawezekana badala yake timu hizo zitachezea uwanja wa iringa.
Mashabiki walijaa wengi sana uwanjani, wakati huo huo mashabiki zaidi ya elfu 5 walikuwa nje ya uwanja kwa kukosa nafasi.
Ni rekodi nzuri kwa diamond kujaza uwanja namna hii katika historia ya mbeya lakini kafanya shughuli za uwanja zisimame mwezi mzima kwa uharibifu uliofanywa na nyomi la mashabiki wake.
Masharti yakazwe katika kumkodisha diamond viwanja vya matamasha maana anajaza sana watu wanaopelekea uharibifu