Kwetu sisi hiki ni kitoweo.

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,648
Nyie mnawaua? Siye kwetu twawafuga ati..!!
295396_248567728507286_100000621812033_834153_4799920_n.jpg
 
attachment.php
ninawogopa hao................................yaani tauni tupu kwenye viroboto wao......labda uwe unawogesha kila wiki na detooooo.................
 
Wanawaabudu, sio kuwaua.
 
Last edited by a moderator:
Wanawaabudu, sio kuwaua.


Mbona hawa wahindi hatusikii wanapigiwa kelele na wale wavaa suluari fupi na maswahiba wao kwamba "hao panya siyo mungu!" Ina maana wao huwa wanawaangalia akina Paulo tu?
 
Last edited by a moderator:
dah,wahindi nao hawanazo kabisa,,,,ivi ugonjwa wa tauni unawapita pembeni kweli??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom