Hata km kuna sababu za kueleweka si mtu unasema tu.kununiana ni utoto sana kwakwli atleast siku1/2!ww kwann usimtafute!sipend mtu anichunie jaman bila sababu za kueleweka arggggggggg
Hata km kuna sababu za kueleweka si mtu unasema tu.kununiana ni utoto sana kwakwli atleast siku1/2!ww kwann usimtafute!sipend mtu anichunie jaman bila sababu za kueleweka arggggggggg
Inategemea hofu yenu ya Mungu ikoje,haitakiwi kusubiri mpaka jua lichwe,lakini kama mmemkumbatia shetani vizuri mnaweza nuniana hata mwezi,which is not good spiritually even physically,kwani ujue pia maradhi kama High blood pressure lazima yajenge urafiki na wewe...eti,naomba kuwauliza.
katika mahusiano,inachukua how long toka kuanza kununiana na mpenzi wako mpaka kuanza kusemeshana tena?
Maana naona week ya pili inakatika sasa na hakuna mwenye dalili ya kumtafuta mwenzie.
AiseeeHakuna ubingwa ktk mnuno, yaani hilo eneo ni moja ya kasehemu ka- mapenzi kama kichunusi vile,
Kama kweli ,narudia kama kweli mnapendana wote mtakuwa ktk upweke, na atakayezidiwa na upweke kwa kuyakumbuka mambo yanayompa furaha yaani zile tabasamu,ile sauti yake,ule uchokozi wake ,ule uongo wake,mapishi na mengine meeengi lazima utafute kisababu hivi cha kumaliza kujitesa kama mnaishi pamoja we hata Jamba halafu msingizie yeye , akiwa amelala chota vimaji hivi mmwagie kidogo halafu kausha kama sio ww vile, mapenzi ni kila kina ni furaha tu hata kununa ni furaha.kama hulipendi likinuna si ndo unapata unafuu .
Wewe umeshesema No Escape na wenyewe No kuachanaMnapotezeana muda tu! Si muachane tu kwani mmezaliwa pamoja..
Nakusubiri leo kule 'JF usiku wa manane'Jishushe umtafute.....tatizo wote mna viburi
Vizuri sana, kununa hakufai, sijawahi nuna huwa tunaongea yanaisha
Kununa kunasababisha maradhiVizuri sana, kununa hakufai, sijawahi nuna huwa tunaongea yanaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
nzuri iyooo mkuuAisee mimi hata tununiane ...mzigo kama kawa asubuhi mtu kanuna