Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
AiseeeeMimi nikinuna nimpaka nibembelezwe, vinginevyoo haongei mtuuu hapa hata km tunapika na kupakua
Kama wew bado unamuhitaji ni bora umuamze tu maana saa Nyingine wakati wamenuna huwa wanatengeneza kwingine kukienda sawa tu ndio kuhama kimoja ( mnuno utaendelea daima)eti,naomba kuwauliza.
katika mahusiano,inachukua how long toka kuanza kununiana na mpenzi wako mpaka kuanza kusemeshana tena?
Maana naona week ya pili inakatika sasa na hakuna mwenye dalili ya kumtafuta mwenzie.
Nini??Aiseeee
upoNini??
Km Nazi, hazinaga msimuuu
utakuwa unabaka mkuu....raha ya ile kitu upewe kiroho safiiii....
njoo pm nkuambie kituKm Nazi, hazinaga msimuuu
eti,naomba kuwauliza.
katika mahusiano,inachukua how long toka kuanza kununiana na mpenzi wako mpaka kuanza kusemeshana tena?
Maana naona week ya pili inakatika sasa na hakuna mwenye dalili ya kumtafuta mwenzie.
Inategemea na level zenu za ukichaa, na nyie ni vichaa wote. Mpaka mmoja atakapopata akili atajishusha
Pouwanjoo pm nkuambie kitu
Kama wew bado unamuhitaji ni bora umuamze tu maana saa Nyingine wakati wamenuna huwa wanatengeneza kwingine kukienda sawa tu ndio kuhama kimoja ( mnuno utaendelea daima)
Mimi nikinuna nimpaka nibembelezwe, vinginevyoo haongei mtuuu hapa hata km tunapika na kupakua
Kweli bro kama mnapendana kiukweli wiki mbili ni nyingi sana coz kila mtu ana hisi kuna kitu fulani kimepungua hapo lazima ujirudiHakuna ubingwa ktk mnuno, yaani hilo eneo ni moja ya kasehemu ka- mapenzi kama kichunusi vile,
Kama kweli ,narudia kama kweli mnapendana wote mtakuwa ktk upweke, na atakayezidiwa na upweke kwa kuyakumbuka mambo yanayompa furaha yaani zile tabasamu,ile sauti yake,ule uchokozi wake ,ule uongo wake,mapishi na mengine meeengi lazima utafute kisababu hivi cha kumaliza kujitesa kama mnaishi pamoja we hata Jamba halafu msingizie yeye , akiwa amelala chota vimaji hivi mmwagie kidogo halafu kausha kama sio ww vile, mapenzi ni kila kina ni furaha tu hata kununa ni furaha.kama hulipendi likinuna si ndo unapata unafuu .
Umeonaeeeahhahaha watu na visiran vyao lol!