FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
-
- #61
Jamaa kaniudhi sana, basi angeishi na huyo mama mzazi wake, udhaifu namna hiyo ni mbaya sana, kwa nini amnyanyase binti wa watu namna hiyo, huyo mama na yeye inaelekea umaskini umemtawala, inawezekana anamtegemea sana huyo mtoto wake wa kiume ndo maana anajidai anauchungu namna hiyo. halafu huyo mama anauhakika gani kwamba mwanaye anatema CHECHE? anamtuhumu binti wa watu tu, pengine mwanaye ndo mwenye matatizo. awaachie wenyewe waamue maisha yao na si kuanza kuwapangia lini wapate mtoto. Kuna jamaa yangu amekaa 5yrs baada ya ndoa ndo akapata mtoto, mkewe alisema siwezi kuzaa mpaka tununue gari(Hii sijui nayo imekaaje) wakanunua akasema siwezi kuzaa mpaka tujenge kwetu, lkn jamaa hakusubiri wajenge akaweka kitu, lkn 5 yrs ilikuwa imeshapita na sasa mtoto wao ana miaka minne, kwa nini hawa wazazi wanakuwa namna hii?, au ndo maana siku hizi ndoa na mimba vinaenda sambaba? ndoa nyingi utakuta bibie keshachoka au ndo ina miezi mitatu. kweli huyo ni mwanaume JINA tuu
Mwanaume mjinga, ametudhalilisha agh!
Mama si akae na mume wake anataka nini kwenye ndoa za mwanaye
Kuna mipaka kwenye kila kitu, haki za mama kwa mtoto inaishia kwenye mahusiano mema, kusaidiana na kama hayo
Lakini kufikia kuingilia ndoa, kushauri kwa kejeli na dharau, anajuaje mambo ya kizazi? atajuta si huyo mwanamke akipata watoto
Kuna kisa kama hicho kiliwahi kutokea baadaye mwanamke akajaliwa watoto wawili wawili..mama mkwe akaanza kuona aibu..shame on her! zaidi huyo mtoto wake ni pre-mature na mpuuzi
Mwanaume hawi mwanaume kwa kuwa na pesa nyingi, kwa kuwa na kazi nzuri, kwa kuwa na watoto na mke... anaanza kuwa mwanaume siku atakayomwambia mama yake "hapana". - M. M. Original
Of course.. you can quote me, put on your wall paper and you can email your friends and if you like you can curve it in your heart..
Huwenda mwanaume ndo kasuka hou mpango mzima haiwezekani umjibu mwenzio meseji sent- manyanyaso mengine? FL1 Huyo rafiki yako wameshakwenda kucheck hospital yeye na mumewe kama hawana tatizo lolote?
Huyo mama itakapo kuja kujulikana mwanae risasi zake hazifanyi kazi sijui atasemaje?
kwamba ni risasi za plastic au zinatoka na gamba lake?????
tehe tehe teheheeeeeeeeeee
Na trend mpya siku hizi wanaume wakikorofishana na wake zao wanarudi kwa mama zaoooo! Wonders will never cease!
Na trend mpya siku hizi wanaume wakikorofishana na wake zao wanarudi kwa mama zaoooo! Wonders will never cease!
Rafiki yangu mmoja kanijia jana akiwa mwingi wa mawazo na majonzi tele
Kisa nini..Ni mwaka wa tatu sasa ameolewa hana mtoto ,Mama mkwe kapiga simu saa tano usiku kwa mwanae wakiwa wamelala
anauliza mkeo yuko hapo ? jamaa kasema ndio ..basi akaambiwa weka loud spika ili huyo anayejiita mkeo apate vidonge vyake
Mama mkwe bila haya kaanza kuporomosha mvua ya maneno akilalamika kama hajaolewa kuja kumchuna mtoto wao wamemsomesha ili awatunze wao na sisi yeye mke mgumba ..
Mbaya zaidi anamwambia ..hajaolewa ili awe sanamu ndani ya nyumba ..la sivyo wangenunua sanamu wakaweka ndani wanachotaka amzalie watoto kama hawezi njia iko wazi aondoke ..!
Mke kulalamika kwa mmewe ..
Mme anamjibu hii ni message send ..
Wanaume kwa nn mnaruhusu ndoa iingliwe na ndugu mke anyanyaswe kiivyo ?
kwa nini msitoe suport ili mke awe na uwezo wa kujitetea?
shock!!!!
FL
Dah, hii kali. yani nimecheka kama chizi, and i think i like this!Na trend mpya siku hizi wanaume wakikorofishana na wake zao wanarudi kwa mama zaoooo! Wonders will never cease!
Rafiki yangu mmoja kanijia jana akiwa mwingi wa mawazo na majonzi tele
Kisa nini..Ni mwaka wa tatu sasa ameolewa hana mtoto ,Mama mkwe kapiga simu saa tano usiku kwa mwanae wakiwa wamelala
anauliza mkeo yuko hapo ? jamaa kasema ndio ..basi akaambiwa weka loud spika ili huyo anayejiita mkeo apate vidonge vyake
Mama mkwe bila haya kaanza kuporomosha mvua ya maneno akilalamika kama hajaolewa kuja kumchuna mtoto wao wamemsomesha ili awatunze wao na sisi yeye mke mgumba ..
Mbaya zaidi anamwambia ..hajaolewa ili awe sanamu ndani ya nyumba ..la sivyo wangenunua sanamu wakaweka ndani wanachotaka amzalie watoto kama hawezi njia iko wazi aondoke ..!
Mke kulalamika kwa mmewe ..
Mme anamjibu hii ni message send ..
Wanaume kwa nn mnaruhusu ndoa iingliwe na ndugu mke anyanyaswe kiivyo ?
kwa nini msitoe suport ili mke awe na uwezo wa kujitetea?
shock!!!!
FL