FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
- Thread starter
- #41
Hapo ndo tunaona maana ya kunasisha kitu kimeani kabla ya ndoa, hehehe piga bao unasishe ujue kifaa kipo mang'anyu ndo unavuta ndani
mmh Kibweka ...!
Hapo ndo tunaona maana ya kunasisha kitu kimeani kabla ya ndoa, hehehe piga bao unasishe ujue kifaa kipo mang'anyu ndo unavuta ndani
ni sawa kabisa kwenye ndoa kuna kipindi cha mpito siku zote si mteremko
Thanks ABEDNEGO ..
Lakini je huyu mwanamme kuna uwezekano wa kubadilika kama tayari mama mkwe kishatia sumu ndoa yake?
Nguli inahitaji hekima ya ajabu kutoka kwa mama mkwe na mtoto piaImeniuma sana hii story ya rafiki yako
Ningekuwa mimi ningefanya hivi.
Nisingeweza kuweka loud spika kwa vile ingekuwa natumia mgongo wa mama kufikisha/ku-cement ujinga ambao mama angeouleza.
Pia ningemjibu mama atuache mimi na mke wangu kama wazazi wa Abrahama na Sarah walivyoachwa kwa miaka takribani 70 ndio wakapata mtoto wakiwa na mtumaini Mungu pekee. Kwa vile kila kitu kina tokea kwa sababu.
Kwa tathimini yangu mama alitakiwa amuulize mtoto wake kama na yeye amewahi kupima kama yuko fertile. Kwa wengi wetu lawama zinatupwa kwa mwanamke zaidi na kusahau hata wanaune wanapatwa na matatizo ya uzazi.
ndoa zina mambo jamani, mie zimenichosha, yaani tangu jana nikifikiria ndoa hizi naweweseka.....
ee bwana ee hebu tutete kidogo kwa mesenja!...URGENTLY!Nimegundua ndo maana siku hizi mtu bila kufunga ndoa lazima avimbishe kwanza atest je huyu mtu ni productive?
ee bwana ee hebu tutete kidogo kwa mesenja!...URGENTLY!
I KNW IT WASNT FEA KABISA,bUT MY DIA KATIKA MAISHA HUTAKIWI KULIPIZA JE,A KWA UBAYA,MUNGU HAPENDI,SI TUMEAMBIWA TUWA TUWAOMBEE ADUI ZETU,MAISHA HAYA MAFUPI KUGOMBANA NA WATU,KILA KITU KINA MWISHO,CHOZI LA HUYO MWANAMKE MUNGU ATAMLIPIA,ASIACHE KUOMBA TENA AMUOMBEE NA HUYO MKWEWE NA MUMEWE POYOYO AFUNGUKE.
well said,
lakini ndio maana ndoa za siku hizi unakuta bibi harusi ana mimba ya miezi nane hata kusimama muda mrefu hawezi....kwa sababu ya mambo kama haya ya mama wakwe!
Kwa tathimini yangu mama alitakiwa amuulize mtoto wake kama na yeye amewahi kupima kama yuko fertile. Kwa wengi wetu lawama zinatupwa kwa mwanamke zaidi na kusahau hata wanaune wanapatwa na matatizo ya uzazi.
Well said,
Lakini ndio maana ndoa za siku hizi unakuta bibi harusi ana mimba ya miezi nane hata kusimama muda mrefu hawezi....Kwa sababu ya mambo kama haya ya mama wakwe!
ndoa zina mambo jamani, mie zimenichosha, yaani tangu jana nikifikiria ndoa hizi naweweseka.....
ndoa zina mambo jamani, mie zimenichosha, yaani tangu jana nikifikiria ndoa hizi naweweseka.....
Hehehehe natarajia kumwona shem shela ikiwa imevimba siku ya tukio
Nimegundua ndo maana siku hizi mtu bila kufunga ndoa lazima avimbishe kwanza atest je huyu mtu ni productive?