Kwenu CCM, siri yao sasa imefichuka

Kwenu CCM, siri yao sasa imefichuka

Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana

Sababu mliamini kwamba Makonda na JPM ni miungu watu basi mnadhani wote wapumbavu kama nyie.

Kuna hoja nyingine unatoa bora usingekuwa na jinsia ya kike.Hivi hata siku moja hamwezi kufikiria outside the box,kibaya huyo mnayemnanga yuko kimya mko busy kumtukana.Watoto wadogo kuweni na soni basi.

Aliyesema yeye ni mungu ni Makonda ambaye ni kada wenu pamoja na JPM.
 
Baada ya kuwamaliza akina Mondi, Kiba, Jux, Idris Sultan nk, sasa ni zamu ya wanasiasa kupanga foleni

Wewe umawamaliza wangapi?Kabla hujatoa kibanzi kwenye jicho la Wema toa Boriti kwenye jicho lako
 
Amani ya bwana .

Maswali haya yalikuwa yanaumiza sana kichwa watu makini na wanaojali maslahi ya .

  1. Kwanini chadema wasimamishe mgombea urais waliyemtukana wao wenyewe kuwa amefilisi nchi kwa ufisadi?
  2. Kwanini kila anachotamka Mbowe, hata liwe jambo la kipuuzi kabisa lakini wafuasi wake wanafuata?
  3. Kwanini Mbowe alipouza chamá kwa mafisadi, bavicha walimshangilia sana?
  4. Kwanini matumizi ya ruzuku ya chadema hayajulikani lakini bavicha hamna anayehoji?
  5. Kwanini chadema hakina ofisi kwa miaka 25 lakini hamna bavicha anayehoji?
  6. Kwanini bavicha wako tayari kuchagua fisadi, muuza unga, jiwe kuliko binadamu aliye timamu kwa maslahi ya taifa?
  7. Kwanini bavicha wanatetea wachawi, majambazi, mafisadi na wauza madawa ya kulevya ilimradi tu wameamliwa na Mbowe kushangilia?
  8. Kwanini bavicha wanamtukana mtu kwa ukwepaji kodi, ufisadi lkn mtu huyo huyo akihamia kwao wanamshangilia tena?
  9. Kwanini chadema ni kimbilio la wachafu na waovu wote?
  10. Kwanini bavicha wako tayari kudeki barabara ili fisadi apite?

Jibu ni kwamba mwenyekiti wao alishawajulia kuwa ukiwalisha ngada, proper reasoning inaondoka, kinachobaki ni kushangilia tu!

Mwenyekiti aliamua kufanya biashara ya ngada ili kuwageuza mazezeta wafuasi wake. Limbwata la Dj kwa wafuasi wake ni ngada.
Siri ni kuwalewesha ngada tu, then unabadili gia angani jinsi unavyojisikia huku ukishagiliwa bila kuhojiwa.

Kwa maana nyingine kuondoa madawa ya kulevya ni sawa na kuiua chadema, kwa sababu baada ya madawa kuisha, hangover za bavicha zitaisha, hivyo wataanza kuhoji maamuzi ya mwenyekiti na hivyo kuuwa chama.
Siri ya kwa nini chadema wanatetea madawa ya kulevya ndio hiyo.

Wewe kweli mwenda wazimu.Ni bora wangekupa Ban ya miaka mitatu.
 
Hongera sana mwenyekiti Mbowe kwa kupata mradi wa kuingiza pesa nyingi,
Bahati yako una wafuasi wanaokupenda sana, wako tayari kupigana kwa ajili ya kulinda mradi wako!!
Piga faida mkuu,
Maana wewe ni mfanyabiashara,
Mungu akupe nini zaidi?
Chama limekubali linatema pesa!!
Kula dry wine kwani katika dunia hii hakuna zaidi ya pesa.
 
unga wa sembe @1kg 2500
sukari @1kg 2600
maharage @1kg 1400
gas@14.3kg 23000
Haya takwimu za kaya zisizo na chakula ndani na kukumbwa na janga la njaa zmefika hadi 75%.
mwaka wa bajeti ya serikali umebakiza miezi mitatu pekee na ktk marejeo ilipitishwa bajeti ya tri.29 ni kati ya bajeti iliyojaa mbwembwe kuwahi kutokea tangu tupate uhuru bahati mbaya haihakisi uhalisia.
Halmashauri sasa hazikusanyi mapato kwa sababu sehemu kubwa ya uwezo wa kukusanya umehodhiwa na serikali kuu kwa mfano masoko makubwa km machinga complex.
Wafanyakazi bado hawajapandishwa madaraja kulingana na kanuni na taratibu za utumishi wa umma.Na CWT nao wanaidai serikali marimbikizi yao.
Ajira mpya mpaka dakika hii bado ni kitendawili cha kiarabu na kichina......Masoko ya hisa yamedorora kila uchao.
Wafanyakazi wa wizara wamehamia udom na sio dodoma na familia zao zpo Dar kila ijumaa wanarudi Dar kujumuika na familia zao kwa gharama na matumizi ya magari ya serikali huku 2naimba wimbo 'tunabana matumizi'.
Matokeo mabovu ya kidato cha nne kwa shule za serikali pasi kujitafakari,hakuna Tz ya viwanda itakayoletwa na wachina 2najidanganya....Kiwanda namba moja ni uwekezaji wenye tija katika raslimali-watu wenye uwezo na si vinginevyo.
Tusipoteze muda kujadili mambo madogo madogo.......eti Wema?,.....wakati kuna Watanzania wanashindwa kupata mlo wa siku kuna Watanzania wananyimwa haki zao za kikatiba kwa sababu 2 kuna watu wamekuwa miungu watu na wanatuimiza kuwaombea.....They talk what they don't walk......Tuipende nchi yetu kwa kuliko vyama na watu...Hivi,kuwatetea watu ambao kazi yao kujiongezea wafuasi'followers' ni usaliti kwa taifa kiongozi bora ni yule anayeandaa viongozi bora mbadala na baada yake na kuitetea na kuiheshimu katiba.
 
Amani ya bwana .

Maswali haya yalikuwa yanaumiza sana kichwa watu makini na wanaojali maslahi ya .

  1. Kwanini chadema wasimamishe mgombea urais waliyemtukana wao wenyewe kuwa amefilisi nchi kwa ufisadi?
  2. Kwanini kila anachotamka Mbowe, hata liwe jambo la kipuuzi kabisa lakini wafuasi wake wanafuata?
  3. Kwanini Mbowe alipouza chamá kwa mafisadi, bavicha walimshangilia sana?
  4. Kwanini matumizi ya ruzuku ya chadema hayajulikani lakini bavicha hamna anayehoji?
  5. Kwanini chadema hakina ofisi kwa miaka 25 lakini hamna bavicha anayehoji?
  6. Kwanini bavicha wako tayari kuchagua fisadi, muuza unga, jiwe kuliko binadamu aliye timamu kwa maslahi ya taifa?
  7. Kwanini bavicha wanatetea wachawi, majambazi, mafisadi na wauza madawa ya kulevya ilimradi tu wameamliwa na Mbowe kushangilia?
  8. Kwanini bavicha wanamtukana mtu kwa ukwepaji kodi, ufisadi lkn mtu huyo huyo akihamia kwao wanamshangilia tena?
  9. Kwanini chadema ni kimbilio la wachafu na waovu wote?
  10. Kwanini bavicha wako tayari kudeki barabara ili fisadi apite?

Jibu ni kwamba mwenyekiti wao alishawajulia kuwa ukiwalisha ngada, proper reasoning inaondoka, kinachobaki ni kushangilia tu!

Mwenyekiti aliamua kufanya biashara ya ngada ili kuwageuza mazezeta wafuasi wake. Limbwata la Dj kwa wafuasi wake ni ngada.
Siri ni kuwalewesha ngada tu, then unabadili gia angani jinsi unavyojisikia huku ukishagiliwa bila kuhojiwa.

Kwa maana nyingine kuondoa madawa ya kulevya ni sawa na kuiua chadema, kwa sababu baada ya madawa kuisha, hangover za bavicha zitaisha, hivyo wataanza kuhoji maamuzi ya mwenyekiti na hivyo kuuwa chama.
Siri ya kwa nini chadema wanatetea madawa ya kulevya ndio hiyo.
....
.....ingefaa sana jukwaa la creche
 
darasa la nne, kweli jamani mtihani wa darasa la nne!! oopsss
 
Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana
Vijana walioko CcM wapo kwa maslahi yao si kwamba ni wazalendo. Wapo kwavile wana viposho huko ambavyo havina jasho, anayejua kupambana hawezi itetea hata kidogo.
 
Upinzani wamepata jembe Wema ha ha ha, Wema Leo ni bora kuliko Slaa.. Ndoto za Chadema
 
Vijana walioko CcM wapo kwa maslahi yao si kwamba ni wazalendo. Wapo kwavile wana viposho huko ambavyo havina jasho, anayejua kupambana hawezi itetea hata kidogo.
Upofu wako na wenu
Unahitaji msaada wa mwenyezi mungu pekee
 
Zuwena nimekupenda sana, umewapa makavu hawa wenye mtindio wa ubongo ufipa
 
Kwani huyo Bashite atawaongezea kura?
Mara nyingine sijui mnajibu post bila hata kufikiri upande wenu?! Hivi mtu kama Bashite hata akiscratch kichwa atafikiri hata kwa 1%? Mtu kafeli hata darasa la nne leo ndo think tank wa serikali ya Chama tawala katika level ya mkoa! Ujinga!
 
Mara nyingine sijui mnajibu post bila hata kufikiri upande wenu?! Hivi mtu kama Bashite hata akiscratch kichwa atafikiri hata kwa 1%? Mtu kafeli hata darasa la nne leo ndo think tank wa serikali ya Chama tawala katika level ya mkoa! Ujinga!
Lakini huyo huyo Bashite akihamia chadema ana pokewa kwa shangwe na kupewa hadhi ya kugombea urais
 
Amani ya bwana .

Maswali haya yalikuwa yanaumiza sana kichwa watu makini na wanaojali maslahi ya .

  1. Kwanini chadema wasimamishe mgombea urais waliyemtukana wao wenyewe kuwa amefilisi nchi kwa ufisadi?
  2. Kwanini kila anachotamka Mbowe, hata liwe jambo la kipuuzi kabisa lakini wafuasi wake wanafuata?
  3. Kwanini Mbowe alipouza chamá kwa mafisadi, bavicha walimshangilia sana?
  4. Kwanini matumizi ya ruzuku ya chadema hayajulikani lakini bavicha hamna anayehoji?
  5. Kwanini chadema hakina ofisi kwa miaka 25 lakini hamna bavicha anayehoji?
  6. Kwanini bavicha wako tayari kuchagua fisadi, muuza unga, jiwe kuliko binadamu aliye timamu kwa maslahi ya taifa?
  7. Kwanini bavicha wanatetea wachawi, majambazi, mafisadi na wauza madawa ya kulevya ilimradi tu wameamliwa na Mbowe kushangilia?
  8. Kwanini bavicha wanamtukana mtu kwa ukwepaji kodi, ufisadi lkn mtu huyo huyo akihamia kwao wanamshangilia tena?
  9. Kwanini chadema ni kimbilio la wachafu na waovu wote?
  10. Kwanini bavicha wako tayari kudeki barabara ili fisadi apite?

Jibu ni kwamba mwenyekiti wao alishawajulia kuwa ukiwalisha ngada, proper reasoning inaondoka, kinachobaki ni kushangilia tu!

Mwenyekiti aliamua kufanya biashara ya ngada ili kuwageuza mazezeta wafuasi wake. Limbwata la Dj kwa wafuasi wake ni ngada.
Siri ni kuwalewesha ngada tu, then unabadili gia angani jinsi unavyojisikia huku ukishagiliwa bila kuhojiwa.

Kwa maana nyingine kuondoa madawa ya kulevya ni sawa na kuiua chadema, kwa sababu baada ya madawa kuisha, hangover za bavicha zitaisha, hivyo wataanza kuhoji maamuzi ya mwenyekiti na hivyo kuuwa chama.
Siri ya kwa nini chadema wanatetea madawa ya kulevya ndio hiyo.
Hivi wewe unadhani wote waliopo chadema ni walevi tu? au ni watu ambao hawana elimu?
 
Back
Top Bottom