Kwenu CCM, siri yao sasa imefichuka

Kwenu CCM, siri yao sasa imefichuka

hata Sauli alikuwa muuwaji lakini alipokutana na Yesu na kuamua kumfuata aliokoka hivyo ndivyo ilivyo kwa CCM na CHADEMA
 
Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana

Nisaidie kufafanua maana halisi ya zidumu fikra za m/kiti!!!!!!!!!!!!!!
 
Amani ya bwana .

Maswali haya yalikuwa yanaumiza sana kichwa watu makini na wanaojali maslahi ya .

  1. Kwanini chadema wasimamishe mgombea urais waliyemtukana wao wenyewe kuwa amefilisi nchi kwa ufisadi?
  2. Kwanini kila anachotamka Mbowe, hata liwe jambo la kipuuzi kabisa lakini wafuasi wake wanafuata?
  3. Kwanini Mbowe alipouza chamá kwa mafisadi, bavicha walimshangilia sana?
  4. Kwanini matumizi ya ruzuku ya chadema hayajulikani lakini bavicha hamna anayehoji?
  5. Kwanini chadema hakina ofisi kwa miaka 25 lakini hamna bavicha anayehoji?
  6. Kwanini bavicha wako tayari kuchagua fisadi, muuza unga, jiwe kuliko binadamu aliye timamu kwa maslahi ya taifa?
  7. Kwanini bavicha wanatetea wachawi, majambazi, mafisadi na wauza madawa ya kulevya ilimradi tu wameamliwa na Mbowe kushangilia?
  8. Kwanini bavicha wanamtukana mtu kwa ukwepaji kodi, ufisadi lkn mtu huyo huyo akihamia kwao wanamshangilia tena?
  9. Kwanini chadema ni kimbilio la wachafu na waovu wote?
  10. Kwanini bavicha wako tayari kudeki barabara ili fisadi apite?

Jibu ni kwamba mwenyekiti wao alishawajulia kuwa ukiwalisha ngada, proper reasoning inaondoka, kinachobaki ni kushangilia tu!

Mwenyekiti aliamua kufanya biashara ya ngada ili kuwageuza mazezeta wafuasi wake. Limbwata la Dj kwa wafuasi wake ni ngada.
Siri ni kuwalewesha ngada tu, then unabadili gia angani jinsi unavyojisikia huku ukishagiliwa bila kuhojiwa.

Kwa maana nyingine kuondoa madawa ya kulevya ni sawa na kuiua chadema, kwa sababu baada ya madawa kuisha, hangover za bavicha zitaisha, hivyo wataanza kuhoji maamuzi ya mwenyekiti na hivyo kuuwa chama.
Siri ya kwa nini chadema wanatetea madawa ya kulevya ndio hiyo.
Utakua umepata MP ya mwezi mzima au mimba imetoka ukiskia cdm
 
Mwasiti bhana.... Jikite kwenye nalivua pendo tu.
Haya mambo ni makubwa kwako na frankly huna akili ya kuja na hoja fikirishi.
 
Kuna watu ni "GREAT THINKERS" na watu wengne ni "ZERO&LESS THINKERS" soo disgusting
 
Mimi nakumbuka kipindi kile wema yupo CCM kwenye kampeni aliwahi itwa malaya baada ya ile video yake na Steve Nyerere wakimdhihaki Lowassa kusambaa mitandaoni, ila leo wanamsafisha!! Na anapokelewa vizuri balaa
Hata sisi tunakumbuka wakati wa kampeni....hakuna mwanafunzi atakayekosa mkopo wa elimu ya juu
 
Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana

Hivi ulishamaliza kusoma?
 
Amani ya bwana .

Maswali haya yalikuwa yanaumiza sana kichwa watu makini na wanaojali maslahi ya .

  1. Kwanini chadema wasimamishe mgombea urais waliyemtukana wao wenyewe kuwa amefilisi nchi kwa ufisadi?
  2. Kwanini kila anachotamka Mbowe, hata liwe jambo la kipuuzi kabisa lakini wafuasi wake wanafuata?
  3. Kwanini Mbowe alipouza chamá kwa mafisadi, bavicha walimshangilia sana?
  4. Kwanini matumizi ya ruzuku ya chadema hayajulikani lakini bavicha hamna anayehoji?
  5. Kwanini chadema hakina ofisi kwa miaka 25 lakini hamna bavicha anayehoji?
  6. Kwanini bavicha wako tayari kuchagua fisadi, muuza unga, jiwe kuliko binadamu aliye timamu kwa maslahi ya taifa?
  7. Kwanini bavicha wanatetea wachawi, majambazi, mafisadi na wauza madawa ya kulevya ilimradi tu wameamliwa na Mbowe kushangilia?
  8. Kwanini bavicha wanamtukana mtu kwa ukwepaji kodi, ufisadi lkn mtu huyo huyo akihamia kwao wanamshangilia tena?
  9. Kwanini chadema ni kimbilio la wachafu na waovu wote?
  10. Kwanini bavicha wako tayari kudeki barabara ili fisadi apite?

Jibu ni kwamba mwenyekiti wao alishawajulia kuwa ukiwalisha ngada, proper reasoning inaondoka, kinachobaki ni kushangilia tu!

Mwenyekiti aliamua kufanya biashara ya ngada ili kuwageuza mazezeta wafuasi wake. Limbwata la Dj kwa wafuasi wake ni ngada.
Siri ni kuwalewesha ngada tu, then unabadili gia angani jinsi unavyojisikia huku ukishagiliwa bila kuhojiwa.

Kwa maana nyingine kuondoa madawa ya kulevya ni sawa na kuiua chadema, kwa sababu baada ya madawa kuisha, hangover za bavicha zitaisha, hivyo wataanza kuhoji maamuzi ya mwenyekiti na hivyo kuuwa chama.
Siri ya kwa nini chadema wanatetea madawa ya kulevya ndio hiyo.
WTF r U ???
 
Vyeti vyeti vyeti, vyeti

[HASHTAG]#vyetimubashara[/HASHTAG]
 
Amani ya bwana .

Maswali haya yalikuwa yanaumiza sana kichwa watu makini na wanaojali maslahi ya .

  1. Kwanini chadema wasimamishe mgombea urais waliyemtukana wao wenyewe kuwa amefilisi nchi kwa ufisadi?
  2. Kwanini kila anachotamka Mbowe, hata liwe jambo la kipuuzi kabisa lakini wafuasi wake wanafuata?
  3. Kwanini Mbowe alipouza chamá kwa mafisadi, bavicha walimshangilia sana?
  4. Kwanini matumizi ya ruzuku ya chadema hayajulikani lakini bavicha hamna anayehoji?
  5. Kwanini chadema hakina ofisi kwa miaka 25 lakini hamna bavicha anayehoji?
  6. Kwanini bavicha wako tayari kuchagua fisadi, muuza unga, jiwe kuliko binadamu aliye timamu kwa maslahi ya taifa?
  7. Kwanini bavicha wanatetea wachawi, majambazi, mafisadi na wauza madawa ya kulevya ilimradi tu wameamliwa na Mbowe kushangilia?
  8. Kwanini bavicha wanamtukana mtu kwa ukwepaji kodi, ufisadi lkn mtu huyo huyo akihamia kwao wanamshangilia tena?
  9. Kwanini chadema ni kimbilio la wachafu na waovu wote?
  10. Kwanini bavicha wako tayari kudeki barabara ili fisadi apite?

Jibu ni kwamba mwenyekiti wao alishawajulia kuwa ukiwalisha ngada, proper reasoning inaondoka, kinachobaki ni kushangilia tu!

Mwenyekiti aliamua kufanya biashara ya ngada ili kuwageuza mazezeta wafuasi wake. Limbwata la Dj kwa wafuasi wake ni ngada.
Siri ni kuwalewesha ngada tu, then unabadili gia angani jinsi unavyojisikia huku ukishagiliwa bila kuhojiwa.

Kwa maana nyingine kuondoa madawa ya kulevya ni sawa na kuiua chadema, kwa sababu baada ya madawa kuisha, hangover za bavicha zitaisha, hivyo wataanza kuhoji maamuzi ya mwenyekiti na hivyo kuuwa chama.
Siri ya kwa nini chadema wanatetea madawa ya kulevya ndio hiyo.
we ng'ombe huoni lipumba alituhumiwa hadi kuingiza silaha nchini na kuna kipindi policcm walkmburuta km mwizi lkn cku hizi wanamlinda kwa hali na Mali?
We mbwa hivi unauwezo wa kutaja mafisadi 11 waliotajwa na chadema wako wapi? Ndo tatizo la kukaririshwa na ccm bila kutumia akili zako.....Japo sishangai akili za kiongozi wenu mkuu ndo akili zenu
 
Nimepoteza muda bure kusoma ushuzi wa mwendawazimu... kwani upuuzi gani wa ccm ambao uvccm hawaushangilii?!..
Hawa ccm wapumbavu kabisa. Badala ya kujenga viwonder wanatupotezea muda? Tumbueni na huyo mungu wenu km sio wakabila ng'ombe nyie
 
Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana
Yani kuna watu humu hata ukijaribu kuwaelewa huwaelewi..

Mtu kama huyu unaweza ukakuta kwenye jamii yake wanamheshimu kabisa..

CCM ndio ina vijana wanaojua kuhoji?..wamewahi kuihoji nini serikali yao?

Punguani wahedi!
 
1.unga umepamda bei
2.sukari bei juu
3.mchele bei haikamatiki
4.gesi imepanda kwa %13
5.petrol inapaa

alafu jinga linaleta upuuzi wakiccm. wakati nduguze huko bush wanakula viwavi
Hawa ndo vichaa tunaohangaika nao
 
Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana
Kazi yenu ni ngumu...
 
Back
Top Bottom