Tafadhali usilinganishe paka na kinachoitaji huruma kuendelea kuishimpaka nimejikuta nacheka yani unaakili ndogo kama ya paka.
dada maneno hayo kumbuka na ww ni mwanamke utazaa siasa usiiweke mbele angalia utuNa Malaya sikuzote Ni malaya tu
Mwache akatekeleze kazi yake Chadema
Najua viti maalumu hakosi
Mimi nakumbuka kipindi kile wema yupo CCM kwenye kampeni aliwahi itwa malaya[emoji23][emoji23] baada ya ile video yake na Steve Nyerere wakimdhihaki Lowassa kusambaa mitandaoni, ila leo wanamsafisha!! Na anapokelewa vizuri balaa
Msijitoe ufahamu uvccm nyinyi mwambieni bashite hivi mbowe si muajiriwa wa serikali wananchi wenyewe waliompigia kura wamelizika na zero yake,na hajanunua elimu ya mtu pamoja na jina lake,bashite kanunua elimu ya mtu na jina,halafu analipwa na serikali kwa viwango vya elimu ambayo hakustahili kuifikia hapo alipo,hatukatai kua anafanya vizuri kwenye u RC anafanya vizuri sana,tunaomba aseme tu yeye alifeli form four ,halafu aendelee na uRC wake huku akilipwa mshahara wa std seven,kuliko kuidanganya serikali ka anavyofanyaKabisa tunataka vyeti, tena aje na yule kaka yake aliyekuwa akimlipa ada kumshawishi ajiunge CHADEMA, Freeman Mbowe. wote wawili waje na vyeti vyao vya form four!
Nje baibui ndani bikini.Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana
Unashida!!!Rudi Shule
CCM inashikilia mambo ya muhimu kama serikali kuweka pingamizi za kijinga kwenye dhamana ya lema? Kutwa kukimbizana na wapinzani eti uchochezi huu ni upambavu mwingine amabao haungii akilini, kama mko makini na mnaleta mabadiliko ya kweli basi wapinzani wapongezwe kwa kuchochea mabadiliko ya kweli. Unaanzaje kuchochea kitu ambacho hakipo mnaelewa maana ya kuchochea? Wanachochea nini hasa tuanzie hapo...Hawa watu hawatumii ubongo
Hii ni hatari kwa nchi kuwa na vijana
Wanao shikiria ujinga na kuacha mambo muhimu
Ndugu msisahau kwamba Yesu aliletwa duniani na watu kama kina Wema Yoh: 2, 8-12... .. sasa nyie watakatifu subirini muda wenu ufike mwende zenu peponi mkale bata..Kwani uongo siyo malaya?
Kuna upinzani upi Tanzania!!Ficha upumbavu wako basi, CCM inashikilia mambo ya muhimu kama serikali kuweka pingamizi za kijinga kwenye dhamana ya lema? Kutwa kukimbizana na wapinzani eti uchochezi huu ni upambavu mwingine amabao haungii akilini, kama mko makini na mnaleta mabadiliko ya kweli basi wapinzani wapongezwe kwa kuchochea mabadiliko ya kweli. Unaanzaje kuchochea kitu ambacho hakipo mnaelewa maana ya kuchochea? Wanachochea nini hasa tuanzie hapo...
Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana
"Nchi ina mtihani mkubwa sana" hili la mitihani ya nchi, ilekeza swali hili kwa Sozonje na CCM kwani wao ndio waliokabithiwa nchi?Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana
Msijitoe ufahamu uvccm nyinyi mwambieni bashite hivi mbowe si muajiriwa wa serikali wananchi wenyewe waliompigia kura wamelizika na zero yake,na hajanunua elimu ya mtu pamoja na jina lake,bashite kanunua elimu ya mtu na jina,halafu analipwa na serikali kwa viwango vya elimu ambayo hakustahili kuifikia hapo alipo,hatukatai kua anafanya vizuri kwenye u RC anafanya vizuri sana,tunaomba aseme tu yeye alifeli form four ,halafu aendelee na uRC wake huku akilipwa mshahara wa std seven,kuliko kuidanganya serikali ka anavyofanya
Mkuu, mbona wamejazana CHADEMA?
NAWEWE ULISEMA ATAKUWA CLOUD KUJITETEA -WAPI! TETEA HAPA BASI, KWENYE MAMBO HAYA SIASA TUWEKE PEMBENIYaani nawacheka sana kwa jinsi walivyoacha mambo yote kumjadili Makonda
Huwezi kufanya uhalifu ukiwa UPINZANI halafu ukaendelea kufanya siasa na ukawa salama na kazi zako, ni ngumu sana ila ukiwa CCM inawezekana kabisa ndio maana wakati fulani aliyekuwa waziri mkuu alitamka bayana kuwa ukitaka biashara yako isonge mbele katika nchi hii jiunge na CCM vinginevyo biashara yako itachacha katika imani yangu naamini ukiona mtu anakimbilia UPINZANI najua hanashaka na matendo yake kwani vinginevyo ataumbuka. ndio maana wengine hata wafanyweje watabaki huko huko.Mimi nakumbuka kipindi kile wema yupo CCM kwenye kampeni aliwahi itwa malaya[emoji23][emoji23] baada ya ile video yake na Steve Nyerere wakimdhihaki Lowassa kusambaa mitandaoni, ila leo wanamsafisha!! Na anapokelewa vizuri balaa
Ndugu msisahau kwamba Yesu aliletwa duniani na watu kama kina Wema Yoh: 2, 8-12... .. sasa nyie watakatifu subirini muda wenu ufike mwende zenu peponi mkale bata..
Kama ninyi mnavyoamini huyo malaika wenu asiyejaribiwa zaidi ya kuombewa.Majibu nikuwa
Tanzania imeingiliwa na Kizazi cha hovyo
Kisicho jua kutumia akili kufikiri
Kila kitu kufuata mkumbo!!
Chadema imejaa vijana wasio jua Kuhoji wala kupinga
Wana amini Mbowe ni Mungu
Nchi ina mtihani mkubwa sana
Yeye ndiye aliye discourage watu kuhukumu wenzao wakati wao wenyewe wana dhami kontena... Timotheo 2, 3-6.Wewe Yesu anahusika je hapa?