Kwenu CCM mtandao

Kwenu CCM mtandao

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,458
Reaction score
18,342
Ni dhahiri sasa, kuwa unaweza kumunywesha sumu mtu lakini hauwezi kabisa kunywesha sumu ukweli aliokuwa anaufundisha.

Unaweza kumteka mtu anayewafundisha watu ukweli lakini hawezi kuuteka ukweli uliowaingia mamilioni ya watu.

Kwa Magufuli mlishangilia na kula nyama mkidhani mmeshinda, kiko wapi sasa? Mliruhusu mpaka vitabu vya kumchafua vichapishwe lakini bado watu wanafurika Chato kila mwaka kumlilia.

Humphrey Polepole ametekwa lakini bado video zake zina trend you tube na zitaendelea hadi vizazi na vizazi.

CCM mtandao mjue yajayo yanafurahisha.
 
Ni dhahiri sasa, kuwa unaweza kumunywesha sumu mtu lakini hauwezi kabisa kunywesha sumu ukweli aliokuwa anaufundisha.

Unaweza kumteka mtu anayewafundisha watu ukweli lakini hawezi kuuteka ukweli uliowaingia mamilioni ya watu.

Kwa Magufuli mlishangilia na kula nyama mkidhani mmeshinda, kiko wapi sasa? Mliruhusu mpaka vitabu vya kumchafua vichapishwe lakini bado watu wanafurika Chato kila mwaka kumlilia.

Humphrey Polepole ametekwa lakini bado video zake zina trend you tube na zitaendelea hadi vizazi na vizazi.

CCM mtandao mjue yajayo yanafurahisha.
Mjane wa Marehemu unateseka mwenyewe, umekosa msaada sasa unatangatanga tu
 
Ni dhahiri sasa, kuwa unaweza kumunywesha sumu mtu lakini hauwezi kabisa kunywesha sumu ukweli aliokuwa anaufundisha.

Unaweza kumteka mtu anayewafundisha watu ukweli lakini hawezi kuuteka ukweli uliowaingia mamilioni ya watu.

Kwa Magufuli mlishangilia na kula nyama mkidhani mmeshinda, kiko wapi sasa? Mliruhusu mpaka vitabu vya kumchafua vichapishwe lakini bado watu wanafurika Chato kila mwaka kumlilia.

Humphrey Polepole ametekwa lakini bado video zake zina trend you tube na zitaendelea hadi vizazi na vizazi.

CCM mtandao mjue yajayo yanafurahisha.
Baada ya kukosa maslahi sasa akili zimekurudia mwanamtoka pabaya wewe
 
Miaka 9 nyuma tulipokuwa tukizungumzia utekaji , mauaji ulikua huwezi kuelewa ila leo unaelewa sasa.

Siku Polepole alipotekwa October 6 , Heche alikumbusha kwamba kama ungewahi kumwambia Polepole unaweza kutekwa mwaka 2020 wala asingeamini angeona kama ni ndoto.

Mwanga wa haki ukikufikia [pengine baada ya watu wa karibu kuumizwa ] ndio unaamini kuwa hakuna mtu anayestahili kutekwa wala kuuwawa.

Hivyo ninaamini hata huyu kidampa Lucas Mwashambwa miezi michache kuanzia sasa aidha atapotea jukwaani kabisa kama wale wengine tuliowajua kama akina Bia Yetu ambao walikua mstari wa mbele kushangilia kwa mambo kama yake miaka ya nyuma na sasa wamepotea ila wewe upo ila umeona madhara ya utekaji na mauaji yanavyoacha makovu ya uchungu na visasi.

Haki siku zote inashinda.
 
Dunia inakimbia kwa kasi sana. Etwege leo na yeye ni mpinzani kama ilivyo sisi aliyetuita ni wapiga dili na watu wenye vyeti feki wakati tulipomkosoa bosi wake Magu pale alipokandamiza haki za watu wengine.
IMG-20260415-WA0001.jpg
 
Dunia inakimbia kwa kasi sana. Etwege leo na yeye ni mpinzani kama ilivyo sisi aliyetuita ni wapiga dili na watu wenye vyeti feki wakati tulipomkosoa bosi wake Magu pale alipokandamiza haki za watu wengine.
Hatari kweli kweli
 
Ni dhahiri sasa, kuwa unaweza kumunywesha sumu mtu lakini hauwezi kabisa kunywesha sumu ukweli aliokuwa anaufundisha.

Unaweza kumteka mtu anayewafundisha watu ukweli lakini hawezi kuuteka ukweli uliowaingia mamilioni ya watu.

Kwa Magufuli mlishangilia na kula nyama mkidhani mmeshinda, kiko wapi sasa? Mliruhusu mpaka vitabu vya kumchafua vichapishwe lakini bado watu wanafurika Chato kila mwaka kumlilia.

Humphrey Polepole ametekwa lakini bado video zake zina trend you tube na zitaendelea hadi vizazi na vizazi.

CCM mtandao mjue yajayo yanafurahisha.
nonsense,
kumbuka,
maisha hayana extra time gentleman,

ni muhimu sana kuchagua moja,
kua baridi au moto, ukiwa viguvugu utatapikwa tu kindezindezi kama huyo useless slowslow
 
Ni dhahiri sasa, kuwa unaweza kumunywesha sumu mtu lakini hauwezi kabisa kunywesha sumu ukweli aliokuwa anaufundisha.

Unaweza kumteka mtu anayewafundisha watu ukweli lakini hawezi kuuteka ukweli uliowaingia mamilioni ya watu.

Kwa Magufuli mlishangilia na kula nyama mkidhani mmeshinda, kiko wapi sasa? Mliruhusu mpaka vitabu vya kumchafua vichapishwe lakini bado watu wanafurika Chato kila mwaka kumlilia.

Humphrey Polepole ametekwa lakini bado video zake zina trend you tube na zitaendelea hadi vizazi na vizazi.

CCM mtandao mjue yajayo yanafurahisha.
Screenshot_20260404-111943~2.png
 
nonsense,
kumbuka,
maisha hayana extra time gentleman,

ni muhimu sana kuchagua moja,
kua baridi au moto, ukiwa viguvugu utatapikwa tu kindezindezi kama huyo useless slowslow
Screenshot_20260117-171041~2.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom