Kwenu akina kaka wenye kutaka mapenzi ya kweli

ZD
Kama alivyosema NN, ukiangalia maisha katika uhalisia wake - weka kando misaafu (maana kuna wengine hawaijui) - utagundua tunajichosha kwa kuishi maisha yakufikirika. Uzoefu wangu ni kuwa unapojaribu kuishi 'mapenzi ya kweli', utakwaa kisiki maana hayana definition. Mfano utakutana na mwanamke/mwanaume anakuheshimu kuliko wazazi wake, hayo ndio mapenzi ya kweli? Unakutana na binti/mkaka ni mkarimu kupita kiasi hayo ndio mapenzi ya kweli? Haya utakutana na mwongo/mnafiki utasema hana mapenzi ya kweli? Hapo kuna dhana mbili tu, kuwa na/au kukosa utu na ubinadamu. Wizi, uongo, majivuno, dharau, ukatili ni kukosa utu na ubinadamu na wala si kukosa mapenzi ya kweli

Bado msimamo wangu upo palepale kuwa mapenzi ya kweli yapo! na mapenzi ya kweli ni mkusanyiko wa vitu vingi sio heshima tu na ni lazima yawe Natural.Usichanganye madhaifu ya mtu na recipes za mapenzi ya kweli.unapoanza kuangalia suala la mapenzi lazima ulitafakari hili neno UPENDO.upendo ni neno lenye mkusanyiko wa vitu vingi sana.Na nakwambia kweli yupo somewhere mtu wako anayekufaa mwenye mapenzi ya dhati kwako ila hujafanya bidii ya kumtafuta.Na unaweza usimuone kirahisi hata ukikutana nae kwa sababu you are blind tayari-yani huamini kama anaweza kuwa na mapenzi ya kweli.
 
Bado msimamo wangu upo palepale kuwa mapenzi ya kweli yapo! na mapenzi ya kweli ni mkusanyiko wa vitu vingi sio heshima tu na ni lazima yawe Natural.Usichanganye madhaifu ya mtu na recipes za mapenzi ya kweli.unapoanza kuangalia suala la mapenzi lazima ulitafakari hili neno UPENDO.upendo ni neno lenye mkusanyiko wa vitu vingi sana.Na nakwambia kweli yupo somewhere mtu wako anayekufaa mwenye mapenzi ya dhati kwako ila hujafanya bidii ya kumtafuta.Na unaweza usimuone kirahisi hata ukikutana nae kwa sababu you are blind tayari-yani huamini kama anaweza kuwa na mapenzi ya kweli.

Mmmh....unaishi kwenye ulimwengu wa uhalisia au wa kufikirika?
 
Sasa unajua rule ipo vipi?Ni kwamba kama wapo wenye mapenzi ya kweli basi hudondokea kwenye wenza wenye mapenzi ya uongo,just like the rule of magnetism kwamba like poles repels while unlike ones atracts,kilichobaki ni kwa machahangudoa tuu,as they are real,hawataki unafiki thats y wameamua kufanya biashara,sio hao wengine wanatuzuga,kumbe nao wanauza kimtindo.Those chicks are very stubbon,let me not be in love with liars!!

yaani ukisemacho ni sawa na avatar yako
 
Bado msimamo wangu upo palepale kuwa mapenzi ya kweli yapo! na mapenzi ya kweli ni mkusanyiko wa vitu vingi sio heshima tu na ni lazima yawe Natural.Usichanganye madhaifu ya mtu na recipes za mapenzi ya kweli.unapoanza kuangalia suala la mapenzi lazima ulitafakari hili neno UPENDO.upendo ni neno lenye mkusanyiko wa vitu vingi sana.Na nakwambia kweli yupo somewhere mtu wako anayekufaa mwenye mapenzi ya dhati kwako ila hujafanya bidii ya kumtafuta.Na unaweza usimuone kirahisi hata ukikutana nae kwa sababu you are blind tayari-yani huamini kama anaweza kuwa na mapenzi ya kweli.

jamani mimi bado mjinga kidogo naomba nieleweshwe?

Nini vigezo vya kujua kuwa huyu mdada ana mapenzi ya kweli?

Je unaweza kuvitambuwa wakati wa kumtongoza?
Je unaweza kuvitambuwa wakati ameshakukubalia?
Je unaweza kuvitambuwa kwa kipindi atakachokitumia kukusumbuwa ukimtongoza?
Je utaweza kuvitambua kwa kutopenda na kuomba kitu chochote kutoka kwako?
Je unaweza kuvitambua kulinga na wapi huyu mtu umemkuta na kumtongoza?i.e club,bar,chuoni,njiani,kwenye semina na workshops,maofisini au kwenye chatting area?

Nifahamisheni wakuu maake naona kila mtu analia na lake kuwa hakuna mapenzi ya kweli siku hizi.
 
jamani mimi bado mjinga kidogo naomba nieleweshwe?

Nini vigezo vya kujua kuwa huyu mdada ana mapenzi ya kweli?

Je unaweza kuvitambuwa wakati wa kumtongoza?
Je unaweza kuvitambuwa wakati ameshakukubalia?
Je unaweza kuvitambuwa kwa kipindi atakachokitumia kukusumbuwa ukimtongoza?
Je utaweza kuvitambua kwa kutopenda na kuomba kitu chochote kutoka kwako?
Je unaweza kuvitambua kulinga na wapi huyu mtu umemkuta na kumtongoza?i.e club,bar,chuoni,njiani,kwenye semina na workshops,maofisini au kwenye chatting area?

Nifahamisheni wakuu maake naona kila mtu analia na lake kuwa hakuna mapenzi ya kweli siku hizi.

Maswali yale ulishajaribu kuyatafakari?
Huwezi kumuona mtu mara moja na kuanza kumtongoza.Unahitaji angalau kujua huyu mtu anatoka wapi n.k. Ndio mwanzo wa kutongoza majini LOL


"Mapenzi ya kweli" utayajua kama utajipa muda kumfahamu mtu kabla hujaji commit na kumkabidhi mtu moyo wako hata kama hayuko tayari kuuweka katika hali ya usalama.Unamkabidhi mtu kumbe hana hata chembe ya feeling kwako..anautupa jalalani na kukusababibishia maumivu.

Mapenzi ya kweli pia hayako uniform..ni subjective kutegemeana na wapenzi wenyewe....
stay tuned!
 
Mapenzi ya kweli bado yapo japo yanaelekea kutokomea kabisaaaa.Najua wapo watakaopinga lakini huu ndio ukweli,Kama unataka kuwa safe na Mapenzi basi mwamini Mungu.Mali na pesa mtu hupewa na babaye lakini mke mema hutoka kwa Bwana.Na mara nyingi kama wewe ni mwema umetulia ,utapata kilicho chema vilevile.
Na tatizo letu siku hizi tunakurupuka sana,mtu umeonana naye kwenye daladala mchana na jioni tayari mshakuwa wapenzi,hujawahi kumuona hata siku moja kwenye maisha yako,sasa hapo unategemea nini?


May be bado yapo, but mostly kwenye hadithi za shigongo.
 
Kuna episode moja ya "Mad Men" Dan Draper alisema the entire "love" business was invented by ad men.

What he might have missed, possibly due to the chauvinistic culture of that era, is that these "ad men" most probably got the ideas from their "lovers"!
 
Penzi la kweli lipo lakini kulipata adimu. Mapenzi siku hizi ni usanii mtupu, si upande wa mwanamke au mwanaume. Wazazi wetu zamani ndio walikuwa wana mapenzi ya kweli .
........Penzi la siku hizi pesa kwanza, mwanamke anataka kuwa na mwanaume mwenye kipato na mwanaume anataka kuwa na mwanamke mwenye kipato.Sio siri penzi la sasa usanii mwingi.
 
Mi ningsema aidha kuna mapenzi au hakuna,bila kuangalia kuwa kama ni la kweli au la uongo..penzi kama penzi nadhani halina namna ya kulipa ulinganifu.....mtizamo wangu tu
 
Mi ningsema aidha kuna mapenzi au hakuna,bila kuangalia kuwa kama ni la kweli au la uongo..penzi kama penzi nadhani halina namna ya kulipa ulinganifu.....mtizamo wangu tu
Dhana ya penzi la kweli inatokana na malalamiko kuwa wakaka wanadanganywa na akina dada katika uhusiano...
Sasa utaachaje kudanganywa na wewe ulidandia kitu kikiwa njiani kuelekea destination tofauti na yako? That is the point im trying to make.
 
VC,

This is what disturb me evryday!!! conditional love... it is in you!!! always lazma uguse ka-condition frani!!!
I will always get a good enapo ninan pesa za kutosha
I will take my son the best school endapo nina du something to get money
I will........ endapo ........!!!

Reading between the lines, is ee it clearly kwamba a man has to do something to get something, can we for a moment be neutral kidogo

I would have said that : wote wana nafasi ya kufaidi penzi la kweli kutoka na nia na mchango wao katika kuboresha wanachoanzisha?

Easy does it better... always!

VC, you didnt respond to this one mazee

Au ndio umenidiss?
 
VC, you didnt respond to this one mazee

Au ndio umenidiss?

TMT, nitamuachia VC akujibu mwenyewe in her own time so I'm not attempting kukujibu ila ni mchango wangu tu;

Kwanza kabisa, unakubali kwamba there's no free lunch? In order to get something, you need to do something, au siyo? In this very complicated topic of "true love" nahisi the same rule applies. Speaking from a woman's perspective, I would rather go out with a guy ambaye ana muelekeo unaolingina na wangu i.e. he will do everything in his power to provide for his family. Hata kama hana pesa sasa but at least awe na NIA ya ku "take care of me". Am I making any sense?
 
TMT, nitamuachia VC akujibu mwenyewe in her own time so I'm not attempting kukujibu ila ni mchango wangu tu;

Kwanza kabisa, unakubali kwamba there's no free lunch? In order to get something, you need to do something, au siyo? In this very complicated topic of "true love" nahisi the same rule applies. Speaking from a woman's perspective, I would rather go out with a guy ambaye ana muelekeo unaolingina na wangu i.e. he will do everything in his power to provide for his family. Hata kama hana pesa sasa but at least awe na NIA ya ku "take care of me". Am I making any sense?

Thanks itniBydaL = Lateral inversion kama tulivyofundishwa kwenye physics sekondary [You just did to my name its MTM and not TMT leiidee!!!}

kwakweli you make lots os senses na nashkuru kwa kunifungua zaidi, to tell you the truth, therer no true love in most of relationships because:

true love stands the taste of time
true love lasts for a long time
True love sees the end of time
Once started it cant end
and the best part of true love is that, it can only be confimred after one has parted this life
In short i can say that no matter how much you or i love the current partner, the confirmation fo true love will only come when its the end of time and not the end of our relationship

What do you think?

Those are my two cents
 
VC,

This is what disturb me evryday!!! conditional love... it is in you!!! always lazma uguse ka-condition frani!!!
I will always get a good enapo ninan pesa za kutosha
I will take my son the best school endapo nina du something to get money
I will........ endapo ........!!!

Reading between the lines, is ee it clearly kwamba a man has to do something to get something, can we for a moment be neutral kidogo

I would have said that : wote wana nafasi ya kufaidi penzi la kweli kutoka na nia na mchango wao katika kuboresha wanachoanzisha?

Easy does it better... always!


MTM
YOU REMIND ME OF ENZI ZILEEEE...wakati nakua nilikuwa nashangaa kusikia katazo " usipokee kitu kutoka kwa mvulana maana utaingia matatani"..ushauri huu ulikua unatoka kwa watu wazima wanawake kwa wanaume.. na hili lilinishangaza sana..As I grew up and got wiser I came to realise that no one gives anything for free.Mambo ya scratch my back I scratch urs!

Hivyo basi huenda ni kawaida katika maisha ya binadamu kuwekeana albeit impliedly hizo condtionalities...more so baina ya wanawake na wanaume.

Tukiachana na hilo...katika kuwepo uhusiano baina ya mwanamke na mwanaume..kunakuwepo na matarajio pande zote.Hii hupelekea kila upande kufanya mambo ya kumvuta mwingine karibu kutegemeana na nini wanataka.Utata unakuja endapo upande mmoja hautaki kuelekea kule anakotaka mwingine hapo ndio kunakuwa na vitimbi vya kumfanya yule anayemvuta mwingine afanye kazi ya ziada ....ndipo mambo ya kupenda kitu zaidi ya utu hujitokeza hadi kukera.

Ukikuta mmoja anataka uhusiano wa kawaida tu ilhali mwingine anataka kwenda another level..kunakuwa na uongo na visa ili mtu apate ujumbe kuwa hatakiwi kivile.

Endapo wote wanaridhia aina ya uhusiano basi wana wajibu kuonyeshana kwa kila namna kuwa wanathaminiana kwa utu zaidi na siyo kitu.
Sijui kama nimeeleweka.
 
jamani mimi bado mjinga kidogo naomba nieleweshwe?

Nini vigezo vya kujua kuwa huyu mdada ana mapenzi ya kweli?

Je unaweza kuvitambuwa wakati wa kumtongoza?
Je unaweza kuvitambuwa wakati ameshakukubalia?
Je unaweza kuvitambuwa kwa kipindi atakachokitumia kukusumbuwa ukimtongoza?
Je utaweza kuvitambua kwa kutopenda na kuomba kitu chochote kutoka kwako?
Je unaweza kuvitambua kulinga na wapi huyu mtu umemkuta na kumtongoza?i.e club,bar,chuoni,njiani,kwenye semina na workshops,maofisini au kwenye chatting area?

Nifahamisheni wakuu maake naona kila mtu analia na lake kuwa hakuna mapenzi ya kweli siku hizi.

Kwa upande wangu naona ni vigumu sana kutambua kama mtu anakupenda kweli au ni utapeli. swala muhimu ni kuamini kuwa unapendwa. yaani ukiamini, wala hupati tabu. wote tunajua kuwa upendo ni inner thing, hata kama mtu atatabasamu nawe kila mnapokuwa pamoja haimaanishi kuwa anakupenda.
Ni rahisi kujua wewe mwenyewe kama kweli unampenda mtu au la, lakini ni vigumu kujua kama yule unayempenda anakupenda pia. Ila ukiamini, utaona unapendwa hata kama sio kweli.
 
Back
Top Bottom