Kwenda benki CRDB ni mateso, nimekoma

Hii kitu ilinikuta NMB msasani na Tegeta yaani wale mbwa wanajivuta mpaka una choka, na hawajali wala nini mtajiju wenyewe kaeni foleni hapo wana boa sana halafu nyie mnao sema pesa kutoa kwa sim banking , Nmb mkononi au ATM kuna huduma zingine huwezi kutoa ATM wala sim banking msikariri mambo
 
Hii kitu ilinikuta NMB msasani na Tegeta yaani wale mbwa wanajivuta mpaka una choka, na hawajali wala nini mtajiju wenyewe kaeni foleni hapo wana boa sana halafu nyie mnao sema pesa kutoa kwa sim banking , Nmb mkononi au ATM kuna huduma zingine huwezi kutoa ATM wala sim banking msikariri mambo
Nenda mliman City crdb wale ni takataka sana
 
Komesha ya yote ni mliman city na shekilango ni wapuuzi wa kutupa hao CRDB...alafu kuna NBC pale ubungo mama yangu ukienda pale ni mavi ya popo madirisha 6 ila dirisha moja ndo linatoa huduma
 
Leo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.

Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.

Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.

Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.

Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuviruga.
Pole mkuu, ni tawi lipi na sehemu gani? Sema ni tawi lipi tupeleke ujumbe
 
Leo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.

Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.

Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.

Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.

Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuviruga.
Nchi ngumu sana😄
 
Huduma za CRDB zimekuwa mbovu hivi!

Tawi la Kijichi utakuta watu wawili tu mbele kwenye foleni lakini utatumia dakika 45 na kwenda mbele.
 
Haya mambo ya foleni kwenye mabenki yamebaki huku Afrika tu, nilivyokuwa majuu ukiingia kwenye branch unakutana na mhudumu mmoja au wawili ambao mostly wanatoa huduma za customer care mfano ku-renew card. Lakini mambo ya deposit, withdrawal, money transfer unafanya kwenye ATM na kwa kutumia internet banking. Na pia nilichogundua wazungu mosty hawatumii cash kufanya manunuzi ya bidhaa na huduma na badala yake wanatumia card ambazo ndo unakuta zimejaza wallet badala ya minoti.​
 
Kwahiyo huyo mkurugenzi kashindwa kusimamia wafanyakazi? Analeta masiara kwenye kampuni, ngoja imfie mikoni mwake maana wateja wakimbia au aangalie isijekuwa benki nyingine wanafanya subotage kwa kuonga wakuu wa matawi wasisimamie subordinate wao ili Bank iyumbe.
 
hata ukikuta madirisha yote yana Tellers 😅 wanafanyakaz slow sana sijui ndio ili wapate overtime ili wateja wasiishe kabla ya saa 10. Tatizo lingine mangers/supervisors wanagegeda sana ma teller wa kike kwahio performance ya kazin lazima iwe ya kisengerema
 
Leo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.

Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.

Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.

Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.

Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuviruga.
Jana nilikua CRDB KIBAHA ,Hili Ni tawi la kimkoa, Kuna keshia mmoja tu, keshia wapili yupo Ila anakagua simu yake hapokei Wala kutoa pesa. Keshia wa tatu anahudumia watu wa Mpesa tu.
Banking hall imejaa a/c imezidiwa nobody cares kibaya zaidi hakuna choo within one kilometre. Choo wanacho wao tu. Ilibidinikodi pkpk ili nikakojoe porini kule karibu na TTCL.
KIMEI KAONDOKA NA UBUNIFU CRDB
 
Huwa naona crdb ya Lumumba wahudumu wapo wengi,na kuna madirisha mengi pia.

Ila CRDB ni kimeo kwenye huduma ukienda bank. Unakuta wateja zaidi ya 100 dirisha moja ndo inakuwa wazi, shame on them. Halafu wahudumu wanavyoringa utadhani ile hela ndo ya kwao.
Utadhani hawaendi chooni
 
Leo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.

Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.

Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.

Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.

Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuviruga.
Hebu tuambie ni tawi lipi na liko mji gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom