PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Kiiza ni zaidi ya jembe....physique yake ni ya-kisoka; akipata kocha mzuri akampika kisawasawa anaweza kutisha; naomba sana atue Msimbazi mje muone soka itakayo kuwa inatandazwa.Yes mkuu.
Yanga wamemuwekea mezani $35,000 yeye kachomoa anataka $50,000!!!!!
Ngasa kalamba $30,000 tuu,sasa yeye na Ngassa nani jembe?