Mpaka dakika hii siamini uongozi wa timu ya Yanga kama wako 'serious' kwa taarifa zilizopo sana kuwa hawatampa mkataba mpya ngui mpiganaji Hamis Kiiza 'Diego'. Nina hakika tutakuja juta mnyama wakimchukua.Unaacha jembe unaingiza Kabange na Berko?Utani huu.