Kweli Yanga mnamuacha Kiiza?

Ulimakafu

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
29,002
10,631
Mpaka dakika hii siamini uongozi wa timu ya Yanga kama wako 'serious' kwa taarifa zilizopo sana kuwa hawatampa mkataba mpya ngui mpiganaji Hamis Kiiza 'Diego'. Nina hakika tutakuja juta mnyama wakimchukua.Unaacha jembe unaingiza Kabange na Berko?Utani huu.
 
Wasipomchukua ni fito tuuuu...nani anamtaka Berco bishororo huyo wamesahau alivyotutesa mechi ya Mwanza na Simba. ....!! Kiiza lazima asajiriwe.
 
Mkuu Ulimakafu unamkumbuka Said Swed Scud wewe?Scud yule wa enzi za Abas Gulamali?unakumbuka alivyokua anaifunga Simba anavyotaka?unakumbuka ndio mchezaji wa kwanza wa ligi ya ndani kumiliki gari dogo la kuendea mazoezini?unakumbuka Gulamal aliwahi kutoa chozi kutokana na burudani ya mshikaji uwanjani?lakini kilichofatia ni kuiringia Yanga?akisema mazoezi hayana hadhi na sasa yeye na mazoezi sasa basi isipokua atakua anacheza mechi tuu?unakumbuka nini kilifuatia baada ya hapo?alifukuzwa jangwani zikiwa zimebaki dk chache kuumana na Simba na Yanga akaua mtu,baada ya kutimliwa akarudi zake Mirambo FC na mpira ukafa.

Kiiza anajiona star na hadhi yake sii ya $35,000 ambazo Yanga walikua tayari kumpa na ambazo wachezaji karibu wote wa Yanga wamepewa.Lakini pia kwa ushauri wa coach kasema kwamba kama hataki kusaini kwa pesa hiyo wamwache maana kuna Ngasa,Nizar,Kabange na Msuva wanaoweza kucheza vizuri zaidi.

Hapa Yanga wanabaki kwenye falsafa yao kwamba hawana desturi ya kumbembeleza mchezaji!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ulimakafu unamkumbuka Said Swed Scud wewe?Scud yule wa enzi za Abas Gulamali?unakumbuka alivyokua anaifunga Simba anavyotaka?unakumbuka ndio mchezaji wa kwanza wa ligi ya ndani kumiliki gari dogo la kuendea mazoezini?unakumbuka Gulamal aliwahi kutoa chozi kutokana na burudani ya mshikaji uwanjani?lakini kilichofatia ni kuiringia Yanga?akisema mazoezi hayana hadhi na sasa yeye na mazoezi sasa basi isipokua atakua anacheza mechi tuu?unakumbuka nini kilifuatia baada ya hapo?alifukuzwa jangwani zikiwa zimebaki dk chache kuumana na Simba na Yanga akaua mtu,baada ya kutimliwa akarudi zake Mirambo FC na mpira ukafa.

Kiiza anajiona star na hadhi yake sii ya $35,000 ambazo Yanga walikua tayari kumpa na ambazo wachezaji karibu wote wa Yanga wamepewa.Lakini pia kwa ushauri wa coach kasema kwamba kama hataki kusaini kwa pesa hiyo wamwache maana kuna Ngasa,Nizar,Kabange na Msuva wanaoweza kucheza vizuri zaidi.

Hapa Yanga wanabaki kwenye falsafa yao kwamba hawana desturi ya kumbembeleza mchezaji!!

Aah, kumbe issue ni pesa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ulimakafu unamkumbuka Said Swed Scud wewe?Scud yule wa enzi za Abas Gulamali?unakumbuka alivyokua anaifunga Simba anavyotaka?unakumbuka ndio mchezaji wa kwanza wa ligi ya ndani kumiliki gari dogo la kuendea mazoezini?unakumbuka Gulamal aliwahi kutoa chozi kutokana na burudani ya mshikaji uwanjani?lakini kilichofatia ni kuiringia Yanga?akisema mazoezi hayana hadhi na sasa yeye na mazoezi sasa basi isipokua atakua anacheza mechi tuu?unakumbuka nini kilifuatia baada ya hapo?alifukuzwa jangwani zikiwa zimebaki dk chache kuumana na Simba na Yanga akaua mtu,baada ya kutimliwa akarudi zake Mirambo FC na mpira ukafa.

Kiiza anajiona star na hadhi yake sii ya $35,000 ambazo Yanga walikua tayari kumpa na ambazo wachezaji karibu wote wa Yanga wamepewa.Lakini pia kwa ushauri wa coach kasema kwamba kama hataki kusaini kwa pesa hiyo wamwache maana kuna Ngasa,Nizar,Kabange na Msuva wanaoweza kucheza vizuri zaidi.

Hapa Yanga wanabaki kwenye falsafa yao kwamba hawana desturi ya kumbembeleza mchezaji!!


May 18 mwaka 1991 Saidi Sued anapachikwa jina la Scud na Mtangazaji Charles Hillary baada ya kutupia goli la pili na Simba kuondoka uwanjani wakiwa wamelowana kwenye sehemu ya wowowo...
 
Last edited by a moderator:
Yes mkuu.
Yanga wamemuwekea mezani $35,000 yeye kachomoa anataka $50,000!!!!!
Ngasa kalamba $30,000 tuu,sasa yeye na Ngassa nani jembe?

Ngassa ni jembe, kama kachukua $30,000, Kiiza anastahili $25,000 kama kawekewa $35,000 hataki, LET HIM GO. Yanga ilikuwepo kabla ya Kiiza kuzaliwa na itaendelea kuwepo bila Kiiza. Go, go, go Kiiza.
 
Dah atakuwa amedanganywa na mzee wa BASTOLA kuwa atampa zaidi ya $ 50,000.

Chezea msomali wewe.

MWACHE AONDOKE.
 
Hatuhitaji galasa la yanga lililojichokea. Tuna mipango yetu madhubuti. Tunasuka kikosi endelevu. Average age miaka 23. Tulia muone after 2yrs mtampiga manji na kandambili kama mengi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ngassa ni jembe, kama kachukua $30,000, Kiiza anastahili $25,000 kama kawekewa $35,000 hataki, LET HIM GO. Yanga ilikuwepo kabla ya Kiiza kuzaliwa na itaendelea kuwepo bila Kiiza. Go, go, go Kiiza.

kuna tetesi kuwa niyonzima kapewa $50,000 ndo maana kiiza naye anatikisa kiberiti kutaka kiasi hicho!

hata mimi nina mtizamo kama wako mkuu, hizo $35,000 alizotengewa bado ni nyingi mno, angepewa tu 25,000, akikataa waachane naye. akikaa kule ngasa na huku msuva then katikati tegete na bahanuzi huku wakilishwa na niyonzima mbona fowadi nzuri tu hiyo
 
Mkuu Ulimakafu unamkumbuka Said Swed Scud wewe?Scud yule wa enzi za Abas Gulamali?unakumbuka alivyokua anaifunga Simba anavyotaka?unakumbuka ndio mchezaji wa kwanza wa ligi ya ndani kumiliki gari dogo la kuendea mazoezini?unakumbuka Gulamal aliwahi kutoa chozi kutokana na burudani ya mshikaji uwanjani?lakini kilichofatia ni kuiringia Yanga?akisema mazoezi hayana hadhi na sasa yeye na mazoezi sasa basi isipokua atakua anacheza mechi tuu?unakumbuka nini kilifuatia baada ya hapo?alifukuzwa jangwani zikiwa zimebaki dk chache kuumana na Simba na Yanga akaua mtu,baada ya kutimliwa akarudi zake Mirambo FC na mpira ukafa.

Kiiza anajiona star na hadhi yake sii ya $35,000 ambazo Yanga walikua tayari kumpa na ambazo wachezaji karibu wote wa Yanga wamepewa.Lakini pia kwa ushauri wa coach kasema kwamba kama hataki kusaini kwa pesa hiyo wamwache maana kuna Ngasa,Nizar,Kabange na Msuva wanaoweza kucheza vizuri zaidi.

Hapa Yanga wanabaki kwenye falsafa yao kwamba hawana desturi ya kumbembeleza mchezaji!!
Kumbe na nyie huwa mnaishiwa? na mnaenda kucheza ligi ya mabingwa, kuweni makini la sivyo mtakuwa mkifungwa tu kama hamtaleta fowadi ya maana.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe na nyie huwa mnaishiwa? na mnaenda kucheza ligi ya mabingwa, kuweni makini la sivyo mtakuwa mkifungwa tu kama hamtaleta fowadi ya maana.

Hili ni wazo makini, mi pia nina mtizamo kama wako. Yanga wakipata fowadi (scorer) angalau mmoja mwenye nguvu itakuwa tishio, wangeachana na the likes of kiiza, kabange sijui beko halafu hizo hela wakainvest kumpata mshambuliaji wa maana!
 
Hili ni wazo makini, mi pia nina mtizamo kama wako. Yanga wakipata fowadi (scorer) angalau mmoja mwenye nguvu itakuwa tishio, wangeachana na the likes of kiiza, kabange sijui beko halafu hizo hela wakainvest kumpata mshambuliaji wa maana!
Naona wanataka kutupa raha sisi wa upande wa pili kama wataendelea na fowadi zao hizo hizo za Kiiza, Bahanuzi, Tegete na Kavumbagu, sisi hatutawahurumia eti kwa sababu ni timu ya nyumbani, mkikutana na timu kama za SA au uarabuni au Africa ya Magharibi sisi itakuwa ni meno yote thelathini na nje mbili.
 
Kumbe na nyie huwa mnaishiwa? na mnaenda kucheza ligi ya mabingwa, kuweni makini la sivyo mtakuwa mkifungwa tu kama hamtaleta fowadi ya maana.

Ni kweli mkuu: Tujikumbushe kidogo:-
TZ: Simba 0-1 Libolo
ANGL: Libolo 4-0 Simba.

Mwenzako akinyolewa, wewe tia maji kichwa chako.
 
May 18 mwaka 1991 Saidi Sued anapachikwa jina la Scud na Mtangazaji Charles Hillary baada ya kutupia goli la pili na Simba kuondoka uwanjani wakiwa wamelowana kwenye sehemu ya wowowo...

ni goli moja tu mkuu ndio alilofunga..
 
Kiiza aachwe, siyo tishio kama ilivyokuwa kwa Okwi. Mimi Yanga damu nikisikia Okwi yumo nilikuwa nakosa amani, tangu aondoke ni raha tupu. Hebu tuwe wakweli ni Wanasimba wangapi wanakumbwa na hofu wakimwona Kiiza yuko uwanjani? Hana hadhi ya kuichezea Yanga, kiwango kimeshuka, ni heri ya Ssentongo kuliko Kiiza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom