Langu la kilugha kutamka tu shughuli
Mkuu..Eti ni kweli wenye majina haya wanatabia hizo?
0. JACQ => Huwa ni Mapepe hawajatulia...
1. PATRICIA => wote ni wapole but hupewa mimba ovyo ovyo...
2. DAMARI => wote huwa waZuri.
3. SARAH =>huwa na wanaume wengi....
4. MWAJUMA=>huwa wajuaji mbaya
5. JOYCE=> ni mafala kiasi.
6. ESTER=> hupenda Pesaa sana jiandaee watachop hizo pesa zako.
7. HELLEN=> wote ni ma player.
8. ANNE=> ni ma-drama queen.
9. Everlyne=> ni wanakuwaga wa cheshi
10. MAGRET=> ni wa-caring..sana wako lovely
11.VIOLA=>wanapenda sex hoo...
12.EDITH=>huwa ni watu waaminifu.
14.NORAH=>wanakuwa expensive.
15. SUSAN=>very romantic
16.Elizabeth=>co nervatives
17.Liz=>wanajua kung'ara poa sana.
18.ANGELINA=>Ni ngumu sana kuwapata hawa.
19.Rose=>hawa ni wachapa Kazii.
20.CARO=> Hawa huwa na mahasira tupu..
21.July/ janet=>wanapenda ndoa sanaaa...unalo
22.Sheryl=>huwa malazi hawaa jiangalie
23.Stacy=>huwa wanyanganyaji mabwana za watu...
24.Frida=>huwa wapishi wazuri sana...
25.Immaculate/ ivy=>huwa very economical hawa utawamudu..
26. MARIUM => Hao ni omba Upewe Ndugu...
27.REHEMA=>________
28.MWANAIDI=>________
29.FLORA => _______
30. IRENE
31.Pendo
32. Happy
33 Jesca
veeeeery true na Angel pia
cc:Evelyn SaltEti ni kweli wenye majina haya wanatabia hizo?
9. Everlyne=> ni wanakuwaga wa cheshi
cc:Viol11.VIOLA=>wanapenda sex hoo...
cc: Lizzy17.Liz=>wanajua kung'ara poa sana.
cc: janeth119/ janet=>wanapenda ndoa sanaaa...unalo
Ha ha ha mtu hajaribiwi kwa mkate.....
Eti ni kweli wenye majina haya wanatabia hizo?
0. JACQ => Huwa ni Mapepe hawajatulia...
1. PATRICIA => wote ni wapole but hupewa mimba ovyo ovyo...
2. DAMARI => wote huwa waZuri.
3. SARAH =>huwa na wanaume wengi....
4. MWAJUMA=>huwa wajuaji mbaya
5. JOYCE=> ni mafala kiasi.
6. ESTER=> hupenda Pesaa sana jiandaee watachop hizo pesa zako.
7. HELLEN=> wote ni ma player.
8. ANNE=> ni ma-drama queen.
9. Everlyne=> ni wanakuwaga wa cheshi
10. MAGRET=> ni wa-caring..sana wako lovely
11.VIOLA=>wanapenda sex hoo...
12.EDITH=>huwa ni watu waaminifu.
14.NORAH=>wanakuwa expensive.
15. SUSAN=>very romantic
16.Elizabeth=>co nervatives
17.Liz=>wanajua kung'ara poa sana.
18.ANGELINA=>Ni ngumu sana kuwapata hawa.
19.Rose=>hawa ni wachapa Kazii.
20.CARO=> Hawa huwa na mahasira tupu..
21.July/ janet=>wanapenda ndoa sanaaa...unalo
22.Sheryl=>huwa malazi hawaa jiangalie
23.Stacy=>huwa wanyanganyaji mabwana za watu...
24.Frida=>huwa wapishi wazuri sana...
25.Immaculate/ ivy=>huwa very economical hawa utawamudu..
26. MARIUM => Hao ni omba Upewe Ndugu...
27.REHEMA=>________
28.MWANAIDI=>________
29.FLORA => _______
30. IRENE
31.Pendo
32. Happy
33 Jesca
Kwa hiyo Evelyne Salt yuko hivyo?
Mkuu..
Kwa hiyo tukitumia haya majina na sifa zake tuambiwe tuwape wana MMU majina yao halisi, kutokana na tabia zao wanazoonyesha humu jamvini je! TUTAFANIKIWA KUPATA REAL NAMES ZAO?
Binafsi kuna baadhi nawajua, mh...kama kweli vile
hamia zako kwa MARIAMMbona huyu Angel hanipi sasa?