Kweli wenye majina haya wanatabia hizo?

Kweli wenye majina haya wanatabia hizo?

lin je wakoje???kama ukweli upo ni % ndogo sana,weka na majina ya kiume

Wanapenda kulia sana,wapo emotional na wakipenda wanakuwa ving'ang'anizi hawaachiki
 
bora natumia la kimasai
HAMNIKAMATI
Wamasai.
Hawa haijalishi jina-Wanaonekna wakimya ila ni wasanii balaa.
Cc. masai dada, Najua wewe Si Mmasai bali Mkwavi wakujivika.
samahani kwa mimi kuitoa siri hii jamvini.
 
Last edited by a moderator:
Hao kina Ester aiseee, kuna kaukweli fulani hivi, na kuna kina Rachel wapo so cutes and romantic.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom