kweli vyandarua vya Bush vimesaidia wengi!!

Ntumami

Senior Member
Sep 3, 2010
127
23
haya nimeona mwenyewe kwa macho yangu nikajaribu angalau kuchukua baadhi ya picha kwa kutumia camera ya simu na nikapata hizi hapo.... hizo ni baadhi ya pcha nyingi za kuonyesha matumizi tofauti tofauti ya vyandarua vya bure ambavyo kidogo vifanane na "makokoro" ya wavuvi!! [I hope kanda ya ziwa wamenielewa ] kwa hawa jamaa nahisi ukisema malaria haikubaliki, wao hufikiri kuwa ni malaria does not bless you!!

Photo-0052.jpg Photo-0053.jpg Photo-0051.jpg Photo-0042.jpg
 
haya nimeona mwenyewe kwa macho yangu nikajaribu angalau kuchukua baadhi ya picha kwa kutumia camera ya simu na nikapata hizi hapo.... hizo ni baadhi ya pcha nyingi za kuonyesha matumizi tofauti tofauti ya vyandarua vya bure ambavyo kidogo vifanane na "makokoro" ya wavuvi!! [I hope kanda ya ziwa wamenielewa ] kwa hawa jamaa nahisi ukisema malaria haikubaliki, wao hufikiri kuwa ni malaria does not bless you!!

View attachment 40194View attachment 40195View attachment 40193View attachment 40192
Ikibidi ndio hivyo basi bado tupo nyuma sana kimaendeleo hahahahah itabidi watu waelimishwe vizuri kujua madhara ya Mbu......
 
haya nimeona mwenyewe kwa macho yangu nikajaribu angalau kuchukua baadhi ya picha kwa kutumia camera ya simu na nikapata hizi hapo.... hizo ni baadhi ya pcha nyingi za kuonyesha matumizi tofauti tofauti ya vyandarua vya bure ambavyo kidogo vifanane na "makokoro" ya wavuvi!! [I hope kanda ya ziwa wamenielewa ] kwa hawa jamaa nahisi ukisema malaria haikubaliki, wao hufikiri kuwa ni malaria does not bless you!!

View attachment 40194View attachment 40195View attachment 40193View attachment 40192

Bado tuna safari ndefu sana
 
Ishu si kwamba watu hawajui matumizi ya vyandarau tatizo vyandaru ni saizi ndogo unakitanda cha futi 5 unapewa chandarua cha futi 2 how comes
 
Hawa watoaji walitakiwa kutoa elimu kwanza ya hizo chandarua ndio wagawe,asa wanagawia watu ambao maisha yao yote hawajawahi kutumia net wanatarajia nn!
 
Vyandarua hizi zinapunguza nguvu za kiume hao jamaa wamefanya uchunguzi wakagundua wakatupa wako sahihi kabisa. Maana nimpango wa marekani kutumaliza waafrika
 
matundu ni makubwa sana, yanapitisha mbu wawili wawili, bwana na bibi harusi bila kikwazo chochote ndo maana jamaa wametafuta matumizi mbadala ya vyandarua hivyo

Hivi vyandarua nadhani vinasabisha zaidi Malaria kuliko kuizuia - yale matundu hata kidole cha mtoto mchanga kinapita!
 
Back
Top Bottom