Kweli uislamu ndiyo dini ya haki kuliko zingine

Kweli uislamu ndiyo dini ya haki kuliko zingine

Fahari ya kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
427
Reaction score
1,668
Soon naenda kubadilisha mawazo yangu aisee nimeamini uislamu ndiyo dini ya haki kuliko hizo imani zingine hizo na nimemtaarifu mke wangu,watoto wangu,ukoo wangu wote leo ndiyo mwisho wa kuwa na hii imani ya uongo na uzushi so jumatatu watu wote wa nyumbani na ukoo wangu tunaenda msikitini na kubadilisha dini na kuwa na dini ya ukweli na haki uislamu Aisee

Nimekuwa najiuliza kwanini uislamu unapigwa vita? Hii kitu imenifikirisha na nikaja na conclusion ya kwamba mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe Kwasababu ni dini ya haki na ya ukweli kwanini dini zingine hazifanyiwi hivyo?

Na nakikri uislamu utashinda na utaendelea kusambaa dunia mzima

" Mimi jemaine alex paroko aliyehasi wa kanisa......jimbo la iringa"
 
Nimekuwa najiuliza kwanini uislamu unapigwa vita? Hii kitu imenifikirisha na nikaja na conclusion ya kwamba mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe Kwasababu ni dini ya haki na ya ukweli kwanini dini zingine hazifanyiwi hivyo?
Haujajiuliza pia kwanini Nguruwe anapigwa vita kisha uje na conclusion ya kwamba mti wenye matunda ndio unapigwa mawe na mbona ni nguruwe tu na sio ng’ombe na mbuzi?
 
Ingeaza na 4R za samia si mwenye dini yake na mtoto wake abduli
 
Dini ya haki halafu unawanyang'anya haki yao ya kuchagua pa kuabudu.

With all due respect sir, but wtf is that?
 
Dini ya haki na ukweli ila Baraza la waislam (BAKWATA) haliamini katika HAKI wao wako pamoja na wauwaji na wakandamizaji wa HAKI za binadamu.
 
Uislamu unapigwa vita na Mataifa makubwa ila still unakua ,hapo lazima ujiulize ..Ni uislamu pekee duniani una identify ,akifanya fujo mwarabu au mwenye jina la kiislam basi utatukanwa uislamu ila mwenye jina la kikristo au mzungu basi atashambuliwa yeye binafsi bila ya kuhusisha dini yake..

Hapo utajua ukweli ,wazungu waliutangaza wenyewe uislamu bila kujijua mpaka leo Muislamu ana identify kuliko dini yoyote ile.
 
Soon naenda kubadilisha mawazo yangu aisee nimeamini uislamu ndiyo dini ya haki kuliko hizo imani zingine hizo na nimemtaarifu mke wangu,watoto wangu,ukoo wangu wote leo ndiyo mwisho wa kuwa na hii imani ya uongo na uzushi so jumatatu watu wote wa nyumbani na ukoo wangu tunaenda msikitini na kubadilisha dini na kuwa na dini ya ukweli na haki uislamu Aisee

Nimekuwa najiuliza kwanini uislamu unapigwa vita? Hii kitu imenifikirisha na nikaja na conclusion ya kwamba mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe Kwasababu ni dini ya haki na ya ukweli kwanini dini zingine hazifanyiwi hivyo?

Na nakikri uislamu utashinda na utaendelea kusambaa dunia mzima

" Mimi jemaine alex paroko aliyehasi wa kanisa......jimbo la iringa"
Waislamu watakuja kichwa kichwa kwenye huu uzi kama mazombi kisha utawapiga na ile manati ya siri 😁😁😁😁
 
9e87498fc9faeac3d8a22e4495bcfe22.jpg
 






Nyuzi zako nyingi wewe ni mwanamke umekuwaje mwanaume
!!???
 






Nyuzi zako nyingi wewe ni mwanamke umekuwaje mwanaume
!!???
Dunia hadaa walimwengu ni mashujaa...
 






Nyuzi zako nyingi wewe ni mwanamke umekuwaje mwanaume
!!???
Huku mitandaoni kuna vichwa kamasi wengi sana.Wao ni kujiandikia tu kutafuta masifa alafu waongo waongo bila kumbukumbu.
 
Soon naenda kubadilisha mawazo yangu aisee nimeamini uislamu ndiyo dini ya haki kuliko hizo imani zingine hizo na nimemtaarifu mke wangu,watoto wangu,ukoo wangu wote leo ndiyo mwisho wa kuwa na hii imani ya uongo na uzushi so jumatatu watu wote wa nyumbani na ukoo wangu tunaenda msikitini na kubadilisha dini na kuwa na dini ya ukweli na haki uislamu Aisee

Nimekuwa najiuliza kwanini uislamu unapigwa vita? Hii kitu imenifikirisha na nikaja na conclusion ya kwamba mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe Kwasababu ni dini ya haki na ya ukweli kwanini dini zingine hazifanyiwi hivyo?

Na nakikri uislamu utashinda na utaendelea kusambaa dunia mzima

" Mimi jemaine alex paroko aliyehasi wa kanisa......jimbo la iringa"
Kuchanganyikiwa tayari umechanganyikiwa kabisa.Hapo Bado kuipata hiyo Imani uitakayo.
 
Nimekuwa najiuliza kwanini uislamu unapigwa vita? Hii kitu imenifikirisha na nikaja na conclusion ya kwamba mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe Kwasababu ni dini ya haki na ya ukweli kwanini dini zingine hazifanyiwi hivyo?
Shetani pia anapigwa vita. Huenda naye ni mti wenye matunda 😂
 
Soon naenda kubadilisha mawazo yangu aisee nimeamini uislamu ndiyo dini ya haki kuliko hizo imani zingine hizo na nimemtaarifu mke wangu,watoto wangu,ukoo wangu wote leo ndiyo mwisho wa kuwa na hii imani ya uongo na uzushi so jumatatu watu wote wa nyumbani na ukoo wangu tunaenda msikitini na kubadilisha dini na kuwa na dini ya ukweli na haki uislamu Aisee

Nimekuwa najiuliza kwanini uislamu unapigwa vita? Hii kitu imenifikirisha na nikaja na conclusion ya kwamba mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe Kwasababu ni dini ya haki na ya ukweli kwanini dini zingine hazifanyiwi hivyo?

Na nakikri uislamu utashinda na utaendelea kusambaa dunia mzima

" Mimi jemaine alex paroko aliyehasi wa kanisa......jimbo la iringa"
Kila kheri
 
Back
Top Bottom