Kweli nimepatikana siamini

Kweli nimepatikana siamini

Mwambie hivi, nataka kukuuliza swali la kizushi, utafanya nikikuomba niwe na wewe? afu rudi kwenye story za kawaida, lazima nae akili zitashtuka tu ataanza kukufikiria wewe
 
Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu

Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda sana yaan Sijui nini kimenikuta

Muda mwingi nakuta namfikiria tu....ninamazoea nae kama rafiki so hua tunachart mambo ya maisha tu na kushauriana ....ikipita hata siku hajanitext moyo unaniuma sana yaan mpaka nakosa raha

Jamaa ni mtu mwenye msimamo mpaka unapenda....hapendi mazoea na wadada ovyo....ni mkimya sana kwanza kuongea nae tu ujipange bt Mimi nimetokea tu tukawa marafiki

Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa
Ukimya wake ndio mtego anaotumia kukutega ila wewe hujui labdatu nikukumbushe kwamba "hata mwanamke aliyetafutwa kwa dawa huamini kapenda kwa moyo wake" sasa wewe mpe kikojoleo halafu utaona mademu zake wote na ukweli wake utajiweka wazi..

Onyo:-
Usije ukaacha kutupa mrejesho
 
Hapa ni kama umemrushia kuku mchele...huna haja ya kumfukuza umkamate...wait and u will see what will happen...
 
Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu

Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda sana yaan Sijui nini kimenikuta

Muda mwingi nakuta namfikiria tu....ninamazoea nae kama rafiki so hua tunachart mambo ya maisha tu na kushauriana ....ikipita hata siku hajanitext moyo unaniuma sana yaan mpaka nakosa raha

Jamaa ni mtu mwenye msimamo mpaka unapenda....hapendi mazoea na wadada ovyo....ni mkimya sana kwanza kuongea nae tu ujipange bt Mimi nimetokea tu tukawa marafiki

Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa
jaribu kufanya uchunguzi kama yuko single kweli sio upeleke mbunyi tu unaweza juta ukija shtuka ana mtoto au ana mtu wake fanya uchunguzi moyo wa mtu ni kiza kinene
 
Katika story hua anasema katika vitu ambavyo havimuumizi kuchwa ni wanawake yaan anadai hana muda kabisa
Hakuna mwanaume rijali kamili ambae haumizwi kichwa na mwanamke. Kama sio wewe basi kuna mwingine anaemuumiza kichwa tena vyote viwili cha juu na chini.
 
Jilipue tu au kama vipi jitundike ili isiwe so sana !
 
Nunua zawadi kama boxer, sox na 'singlend' umpelekee. It's easy, hakuna mwanaume atashindwa kuelewa level ya mapenzi uliyonayo kwake ukimpa zawadi za namna hiyo.

Don't say anything, a gift is enough.
 
Sasa utasubiria mpaka lini best? Na ukute jamaa hana hata mpango na wala hajafikiria kuwa na mahusiano na wewe sasa si bora ujitose tuu, mimi ningekuwa wewe ningempa black and white why utese nafsi wakati vitu vinawezekana? Mweleze ukweli akikubali poa asipokubali poa tuu kwani kitu gani. Bora ujue ukweli kwamba haiwezekani ufanye mambo mengine kuliko kuendelea kuwaza mtu mzima mwenzio pasipo sababu ya msingi.


Neybright,
Kindly , give me my potion of black and white because, I know you need me badly.

Thanks.

🙂🙂😀😀😛😛😛
 
Kakuweza...keshajua umenasa
sasa anakuacha ujivalishe kitanzi taratibu
Halafu huyu wanaume hajatujua vizuri. Eti mkimya, ana msimamo, hataki mazoea na wadada . Kaazi kwelikweli, ngoja akipenda atatuletea mrejesho hapa
 
simple sana hakuna mwanaume asie tegeka kwa mwanamke tumia mbinu za kike mpaka ajikute kala tunda na kuanzia hapo mambo yote yatanyooka ila nawaza ni kweli hana mwanamke kweli na kama hana basi kuna tatizo lipo upande wake mwanaume yeyote aliepevuka hawezi kuishi bila mwanamke.
Huu ushauri ni wa hovyo sana. Hapa atamegwa na kuachwa.
 
Mara nyingi ukimtongoza dume uwezekano wa kukubali ni mkubwa sana same applied na uwezekano wa kukuacha(baada ya kula papuchi) ni mkubwa vilevile ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom