Kweli nimepatikana siamini

Kweli nimepatikana siamini

Hisia ndani Ya Moyo hujengeka kwa sababu ya yule unayemuona ni Sahihi. Kushindwa kuheshimu hisia zako kwa kuogopa kuusema ukweli ni Mateso kwako. Fanya chochote ili aitambue ama agundue chochote. Kuendelea kukaa kimya kutakuretea Matatizo Hapo baadae, hasa pale atakapo muangukia mwingine. Itumie Vizuri pumzi uliyopewa na Mungu. Kwani Ukiichezea na Mungu kuichukua Hutarudi tena. Furahia Uhai uliopewa na Mungu kwa kuutendea haki Moyo wako
 
Hatumii kilevi...hapendi kujichanganya yaan kwanza Sijui social network anaweza maliza hata miez 6 hajaingia hata whatsap na smart anayo....
Anaweza maliza miezi 6?

Kama hadi unajua hii routine mpaka sasa hivi ulitakiwa ujue kama anakupenda au hakupendi.
Na muda wote huo hajaonyesha kua ana mtu?

Kama hajakuonyesha na mnafanya kazi airport huyo jamaa namjua ni choko
 
Heri lawama kuliko fedheha!
Funguka!! Unaweza kuta nae anashindwa tu kumwambia!
Ila Fanya utafiti kwanza je ana mtu wake?
Katika story hua anasema katika vitu ambavyo havimuumizi kuchwa ni wanawake yaan anadai hana muda kabisa
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai mkuu!
Trust me hayo ni maneno tu ya sisi wanaume coz huenda anaona kabisa ashakuteka! Sasa ili udisolve completely ndio maneno kama hayo huwa tunatamka!
 
Kwanza tambua asilimia kubwa ya wanaume wakitongozwa hawakatai sas kam ww unaogopa kumtongoza hata kumtega kweli nako umeshindwa jaman dia,? embu mjaribu akikataa njoo kwang mie mwenyew mpole sana afu mrahisi vilevile
 
Anaweza maliza miezi 6?

Kama hadi unajua hii routine mpaka sasa hivi ulitakiwa ujue kama anakupenda au hakupendi.
Na muda wote huo hajaonyesha kua ana mtu?

Kama hajakuonyesha na mnafanya kazi airport huyo jamaa namjua ni choko
Hayo ni maongezi anakuambia kua anamda flan hajaingia watsap...ni mtu msiri sana na makini na mambo yake so ni ngum kumjua anakupenda au lah! Japo nikimaliza cku cjamtafuta hua analalamika mbona umenitenga Sijui nn yaan Mimi hata simwelew asee
 
Hayo ni maongezi anakuambia kua anamda flan hajaingia watsap...ni mtu msiri sana na makini na mambo yake so ni ngum kumjua anakupenda au lah! Japo nikimaliza cku cjamtafuta hua analalamika mbona umenitenga Sijui nn yaan Mimi hata simwelew asee

Sikia bi dada, huyo jamaa hamna haja wala ya kumwambie, fanya kitu moja sisi wanaume tunapenda, onyesha kumjali, onyesha kumpenda kutoka moyoni. Automatic mtajakuwa wapenzi bila hata mmoja kumwambia mwenzie.
 
Mkate kwa chai??mkaribishe kwako,halafu kaa mikao ya kuonyesha papuchi.aaaah dk 0 kayeyuka uyooo.
 
simple sana hakuna mwanaume asie tegeka kwa mwanamke tumia mbinu za kike mpaka ajikute kala tunda na kuanzia hapo mambo yote yatanyooka ila nawaza ni kweli hana mwanamke kweli na kama hana basi kuna tatizo lipo upande wake mwanaume yeyote aliepevuka hawezi kuishi bila mwanamke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom