Kweli nimepatikana siamini

Kweli nimepatikana siamini

Miaka miwili? Umejitahidi sana na upo hatarini. Kuna study moja imegundua kwamba kama haukojozwi angalau mara 21 kwa mwezi, upo kwenye hatari kubwa ya kupata cancer ya kizazi huko mbeleni.

Be warned!
 
Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu

Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa

Ebitoke ebu ukuje huku utoe ushauri mubashara!!
 
Aisee umepatikana kwa kweli. Lakini kwa nini umejitesa muda wote huo, kuwa single wakati kila siku wakaka humu wanatafuta wanawake tena wa kuwaoa?? au mwenzetu muda badoo??
Wababaishaji wa umu vigezo vingi sana
 
Miaka miwili? Umejitahidi sana na upo hatarini. Kuna study moja imegundua kwamba kama haukojozwi angalau mara 21 kwa mwezi, upo kwenye hatari kubwa ya kupata cancer ya kizazi huko mbeleni.

Be warned!
Najikojoza mwenyewe kwa wiki Mara mbili(selfie) so kwa hilo halinisumbui
 
Miaka miwili? Umejitahidi sana na upo hatarini. Kuna study moja imegundua kwamba kama haukojozwi angalau mara 21 kwa mwezi, upo kwenye hatari kubwa ya kupata cancer ya kizazi huko mbeleni.

Be warned!
Mmmm si kweli so uume ndio dawa
 
Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu

Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda sana yaan Sijui nini kimenikuta

Muda mwingi nakuta namfikiria tu....ninamazoea nae kama rafiki so hua tunachart mambo ya maisha tu na kushauriana ....ikipita hata siku hajanitext moyo unaniuma sana yaan mpaka nakosa raha

Jamaa ni mtu mwenye msimamo mpaka unapenda....hapendi mazoea na wadada ovyo....ni mkimya sana kwanza kuongea nae tu ujipange bt Mimi nimetokea tu tukawa marafiki

Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa
lady in action hebu jaribu kunitongoza mimi hakika hutajutia uamuzi wako
 
Hatumii kilevi...hapendi kujichanganya yaan kwanza Sijui social network anaweza maliza hata miez 6 hajaingia hata whatsap na smart anayo....

Sisi ambao atuonji iliyo chujwa vyema tuna raha sana. Mapema unakuwa ushausoma mchezo arafu unamwangalia mtu kwa mbaaaaaali anavyo weweseka, atakunasia wapi Maana brain full oerfomance 100% akuna cha kupitiwa na ibirisi wala shetani.

Sasa jamaa mwenyewe hapendi social media tools. ukimmiliki atakubore sana maana wewe huku ndio sebureni na varandani.
 
Nimekudanganya wapi? mi nilikwambia umpigie? ITS OK inawezekana huna viwango vyake kabisa ndo maana anakuchukulia poa kihivyo, subiri tu utapata wa viwango vyako. Kama umemshindwa huyo kutokana na maelezo yako jinsi alivyo, wewe subiri kupatwa tu maana hutapata utakayemtaka wewe, kuwa teyari kuchukuliwa na yeyote hata kama hujampenda kiviile, mradi tu yeye akupende, maana uzee nao ndo huooooo waja.
uzee hauko mbali
 
Fanya yako tu potezea kichwani mwako hakika yatapita hayo mawazo. Jiweke mbali nae kwa muda uone reaction yake akipiga usipokee, akituma text usijibu kama ana mpango nawe atakuambia hizo ni genye tu zinakupelekesha nae anasubiri kitonga ili asitumie gharama. Raha ya mwanamke utongozwe siyo kujitongozesha.
 
Tanteee najuwa wanipenda nakuangaliaga tu njoo toto ee 🙂
 
Usithubutu kumtamkia au kumtongoza mwanaume yeyote hapa duniani bidada utajutraa..

Nimeona ndugu jamaa na marafiki kilichowakuta kwa upuuzi huo..ni mwendo wa vilio hadi nawaonea huruma mweeh!

Usithubutuu....
Angefata huu ushauri...bahati mbaya hashauriki
 
Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu

Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda sana yaan Sijui nini kimenikuta

Muda mwingi nakuta namfikiria tu....ninamazoea nae kama rafiki so hua tunachart mambo ya maisha tu na kushauriana ....ikipita hata siku hajanitext moyo unaniuma sana yaan mpaka nakosa raha

Jamaa ni mtu mwenye msimamo mpaka unapenda....hapendi mazoea na wadada ovyo....ni mkimya sana kwanza kuongea nae tu ujipange bt Mimi nimetokea tu tukawa marafiki

Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa
Utakazwa bila kuambiwa unapendwa....
huko ndiko unakoelekea
 
Mmmh wewe NI muongo aisee humu kuna Uzi umeweka nadhan jana kwamba na huyo kaka na mna mtoto ulimfata huko alikohamia na SASA unalalama jamaa hataki papuchi yako Hana wivu na wewe wala hamu na wewe hata UTOKE mwaka Mzima.
Pole Sana aisee. Jamaa alikutamani Kwa shobo zako lakini si kwamba alikupenda
 
Dah sikujua kama unanipenda mimi nilikuchukulia kama dada yangu any ways sio mbaya Nakupenda pia Lini unakuja ghetto tutest mitambo ni mm mfanyakazi mwenzio
 
Ni kweli moyo wako umempenda au kichupa kimefaa mbususu inataka kuchakatwa so tumia akili genye sisikupeleke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom