Nimekudanganya wapi? mi nilikwambia umpigie? ITS OK inawezekana huna viwango vyake kabisa ndo maana anakuchukulia poa kihivyo, subiri tu utapata wa viwango vyako. Kama umemshindwa huyo kutokana na maelezo yako jinsi alivyo, wewe subiri kupatwa tu maana hutapata utakayemtaka wewe, kuwa teyari kuchukuliwa na yeyote hata kama hujampenda kiviile, mradi tu yeye akupende, maana uzee nao ndo huooooo waja.We ndio umenidanganya kabisa...nimempigia sasa hv yaan anaongea kama hataki daa. Nimefuta namba yake Namuomba Mungu anisaidie nisimfikirie kabisa naomba Mungu anitie nguvu da!!!
Kwani jamaa ni alshababu?Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu
Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda sana yaan Sijui nini kimenikuta
Muda mwingi nakuta namfikiria tu....ninamazoea nae kama rafiki so hua tunachart mambo ya maisha tu na kushauriana ....ikipita hata siku hajanitext moyo unaniuma sana yaan mpaka nakosa raha
Jamaa ni mtu mwenye msimamo mpaka unapenda....hapendi mazoea na wadada ovyo....ni mkimya sana kwanza kuongea nae tu ujipange bt Mimi nimetokea tu tukawa marafiki
Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa
pole.Asanten kwa ushauri wapendwa. Acha nikae kimya tu cha msingi nipunguze ukaribu nae na mawasiliano nae nipunguze
Fanya hivi, mualike kwako kama unajitegemea, muandalie chakula na vinywaji vizuri vya asili kama juice fresh. Kuwa huru mfano unakaa nae kwenye kochi moja, ukiwa unacheka mmefurahi unamuegemea kama kawaida. Usilazimishe kwenda kwake inaweza kuwa ana mwanamke wake ndio maana alikuwa haangaiki ni nyie hapo kazini. With time atakuelewa tu au atajikuta kakupenda. Na inawezekana huo unaoita ni msimamo sio udhaniavyo inaweza kuwa domo zege tu. Kwa kutumia njia ya kujiweka karibu sana na huru itampunguzia woga wa kukutongoza. Ukishindwa yote jilipue mwambie sasa umekuwa mpweke sababu upo single kwa muda mrefu akupe ushauri, hapo atakuelewa tu. Akikuuliza au kukushauri utafute mtu ndipo umjibu hauwezi tafuta sababu ni mwanamke inabidi utafutwe wewe. Uzuri wa njia hii ya kuomba ushauri ni kwamba akionesha kukukwepa au kukujibu kwamba yeye hayupo tayari au ana mtu basi na wewe unageuka unatabasamu una mwambia alikuelewa vibaya hauku mlenga yeye.Sijui atanionaje aisee...anaweza kunidharau mpaka nikajiona choo
Hiyo ni akili yako inakutuma hivyo Kwa kuwa umempenda sana. Angekuwa hataki na simu yako asingeipokea.We ndio umenidanganya kabisa...nimempigia sasa hv yaan anaongea kama hataki daa. Nimefuta namba yake Namuomba Mungu anisaidie nisimfikirie kabisa naomba Mungu anitie nguvu da!!!
Usithubutu kumtamkia au kumtongoza mwanaume yeyote hapa duniani bidada utajutraa..
Nimeona ndugu jamaa na marafiki kilichowakuta kwa upuuzi huo..ni mwendo wa vilio hadi nawaonea huruma mweeh!
Usithubutuu....
Alafu yeye ni mdada ngoma drooJamaa ni mtu mwenye msimamo.. hapendi mazoea na wadada hadi unapenda....
Lakini mkuu kuna viwango " standard" kwa wanaume wote tunavipenda kama anavyo sidhani kama jamaa atachomoa hata Ku "hit" onceNimekudanganya wapi? mi nilikwambia umpigie? ITS OK inawezekana huna viwango vyake kabisa ndo maana anakuchukulia poa kihivyo, subiri tu utapata wa viwango vyako. Kama umemshindwa huyo kutokana na maelezo yako jinsi alivyo, wewe subiri kupatwa tu maana hutapata utakayemtaka wewe, kuwa teyari kuchukuliwa na yeyote hata kama hujampenda kiviile, mradi tu yeye akupende, maana uzee nao ndo huooooo waja.

Ubadilishe na jina lako kbsaa ujiite lady in hiding..maana action hufanyiSijui atanionaje aisee...anaweza kunidharau mpaka nikajiona choo