Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,494
@Asprin hayupo amesafiri anaenda south kwenye semina ya sarataniUsije ukamstua Asprin sasa na yeye akajipa safari humo humo[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
@Asprin hayupo amesafiri anaenda south kwenye semina ya sarataniUsije ukamstua Asprin sasa na yeye akajipa safari humo humo[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio huyuHommie huyu Sakayo ndio yule niliyekuomba uwe bestman kwa harusi yetu.
lazima utakua umefikakisha kama 38 au 40 haya yote umeyajuaje?Wanaume wanatudharau sana.
Kwasababu wao ndio wanatulala.
Wao ndio wanatupa mimba na hata kama wakikataa wao hizo mimba wanao wapa mabinti au wadada unamtunzia unahangaika mtoto anakuja kukua na anaemda mahakamani nakumchukua.
Ni Tanzania pekee wanaume wanatunzwa na kutunziwa familia zao.
Ni Tanzania pekee wanaume wanawala wake zao tigo kama nini.
Ni Tanzania pekee wakaka wanakaa vijiweni muda wakazi wanaambizana kuhusu wakina halima na aisha.
Unakuta wanawake wanapigana kisa Musa naye musa wala hana mpango nao.
Unaweza kukuta anaoa mwingine.
Nani Tanzania pekee ambayo Musa anaweza kutunzwa na Aish kwa kila kitu anakuja kumpa mimba Amina na Anamhonga aisha nakumuoa Dorothea
Upo hapo.
Ndio maana tunadharauliwa .
Tunachezewa hadi basi mwisho tunapigwa tunatusiwa nakutimuliwa.
Basi hali ndio hiyo.
Usidharauliwe na unampa mwanaume hela anakulala halafu bado unamtoa out na mazawadi nahuku niwewe ndio unastahili baadae kimbembe kaolewa mwingine.
Tujiheshimu sana kwa maana tunadharaulika mno kushinda hata zamani.
Namkiwa hamna hela wanaenda kwa wengine hata kama mmeoana .
Punguzeni kuwapa hawa hela mtu atafute njia ya kukupa wewe.
Hata bustani ya edeni hawa laana yake ilikuwa nikuzaa kwa uchungu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke kudharauliwa ni matokeo ya mazingira ya jinsi anavyojiweka, akiwa hovyo atadharauliwa sana. Kuna wanawake wengi wanajiheshimu na wanaheshimiwa sana na wanaume, na kamwe hawatadharauliwa. Kama unahisi unadharauliwa, jitazame tabia na mwenendo wako, huenda ndio unaochangia wewe kudharauliwa.
Na miaka mi tatu ila naheshimika sana kwani na IQlazima utakua umefikakisha kama 38 au 40 haya yote umeyajuaje?
miaka 3 mbona umeongea kwa HASIRA sana salum kachukua mzigo wako afu kaenda kuoa mwajuma....haha sasa kama hulipi afanyaje?
miaka 3 mbona umeongea kwa HASIRA sana salum kachukua mzigo wako afu kaenda kuoa mwajuma....haha sasa kama hulipi afanyaje?
kumbe ushaolewa?ahahahaha
Ndo mana wanasema ukiendekeza sana hela inaondoa utu wako......hahaha mkuu #umeua kabisa kwamba ni bora umdharau ila alipwe pension
Kweli kabisa ana upeo mdogo. Ili usimtenge