Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,451
- 9,770
Kama kawaida najiandaa kutoka zangu ofisini nikaamua kupitia dukani kuchukua wayn yangu si unajua tena mvua?
Ile natoka tu nikakutana na classmate wangu yeye kwa sasa ni mwalimu ndio amekuja kulipot.
Basi bila hiyana tukasalimiana na nikaona nimkaribishe home.
Dada wa watu kwa upole na unyenyekevu kakubali ikabidi tuzame ndani ya kaGX 100 kangu mpaka geto.
Tukaanza kukumbushia mambo ya kischool si mnajua tena na kimvua hiki likasakatwa kabumbu hilo mpaka asubuhi ya leo.
Na mtoto hana chochote ndio kwanza anaanza maisha.
Ikabidi nimkabidhi mamlaka ya kuwa awe mama mwenye nyumba.
Mtoto haamin anacheka tu. Kwasasa naomba mvua iendelee kunyesha huku nakula raha.
mjini shule ila usije na madaftari