aaah! Umekuja! Bora nilikums sana kwenye uwanja huu...... Ehe kama post za nan??
Au two ten nn? Unanificha kuhusu two ten hebu niambie ni nan wako??
mmmmmh! Ww shemeji/mke ya....................!
Walimu bana!
Hpngera kwa kumiliki gx100
Sent from my iPhone using JamiiForums
hahahaaaa! Haya shemeji nmekupata....... Umesema vzr acha tujipange
Walimu bana!
mmmh walimu na mambo yao
Walimu wamefanyaje ndugu??!!!do not underestimate peoole that much.....huyo ana matatizo yake tu yanamsumbua and luck of ethics juu ya taaluma yaje ndivyo vinavyomtafuna...haihusiani na yeye kuwa mwalimu bhana..ndio waliokufuta makamasi hao
Walimu wamefanyaje ndugu??!!!do not underestimate peoole that much.....huyo ana matatizo yake tu yanamsumbua and luck of ethics juu ya taaluma yaje ndivyo vinavyomtafuna...haihusiani na yeye kuwa mwalimu bhana..ndio waliokufuta makamasi hao