Ukiangalia kwa umakini utaona tatizo lililopo limeanzia mbali... vijana wetu wa TISS hawana elimu nzuri, hii ni kutokana na mfumo tunaoutumia kuwasaili na kisha kuwaajili.
Pale JKT ndipo tumewatoa wengi, ikumbukwe mbali na wale wanaopita JKT kwa takwa la wizara ya elimu wapo walioamua kujitolea kwenda baada ya hali ngumu ya maisha, kushindwa kuendelea na masomo , , kuchokwa jamii au wazazi wao na kuona bora waende kusurubiwa huko labda watajifunza... sasa hawa ndio Tunao kwenye secret service watu walio shindwa maisha kisha zali likawaangukia.
TISS si chombo cha ku recruit wajinga wajinga etu anakuwa recruited kisa anauvumilivu wa viboko na adhabu. Mtu wa namna hii hana reasoning skills, anapelekeshwa kwa takwa la boss.
Boss nae ni zao hilo hilo matokeo yake vitu vinavyoamuliwa vinaibua misuguano isiyo ya lazima.
TISS watokane na vijana wetu waliosoma na wenye kitu kichwani. JamiiForums ingeweza kuwa hacked na information zote wangepata bila kumgusa Max.
Max aachiwe ikiwa watawala wanahitaji amani mitandaoni na kwenye nafasi zao zenye dhamana ya wapiga kura.
Pale JKT ndipo tumewatoa wengi, ikumbukwe mbali na wale wanaopita JKT kwa takwa la wizara ya elimu wapo walioamua kujitolea kwenda baada ya hali ngumu ya maisha, kushindwa kuendelea na masomo , , kuchokwa jamii au wazazi wao na kuona bora waende kusurubiwa huko labda watajifunza... sasa hawa ndio Tunao kwenye secret service watu walio shindwa maisha kisha zali likawaangukia.
TISS si chombo cha ku recruit wajinga wajinga etu anakuwa recruited kisa anauvumilivu wa viboko na adhabu. Mtu wa namna hii hana reasoning skills, anapelekeshwa kwa takwa la boss.
Boss nae ni zao hilo hilo matokeo yake vitu vinavyoamuliwa vinaibua misuguano isiyo ya lazima.
TISS watokane na vijana wetu waliosoma na wenye kitu kichwani. JamiiForums ingeweza kuwa hacked na information zote wangepata bila kumgusa Max.
Max aachiwe ikiwa watawala wanahitaji amani mitandaoni na kwenye nafasi zao zenye dhamana ya wapiga kura.