Mwanakijiji wewe una sehemu ya haya yanayoendelea. Pale wapinzani walipolalamika kuwa serikali hii inatupeleka kwenye udikteta, wewe ulikenua meno aisee, nakuchukia kweli: nisamehe tuu, maana siwezi kuzuia chuki yangu kwako. Ulitetea madudu ya JPM tangu mwanzo ya ukandamizaji wa demokrasia nchini. Aisee kwa dhati ya moyo wangu nakuchukia wewe, umekuwa sehemu ya haya tuliyofikia na tunakoenda, huwezi kujivua haya. I hate you. Kutoka kuwa mtu niliyependa kumsoma makala zake mpaka kuwa mtu ninayekuchukia. NAKUCHUKIA NA VIONGOZI WAKANDAMIZI WA CCM ULIOUNGANA NAO KUTUUMIZA. I HATE YOU