FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Hadi nikahisi uliamua kunifanyia roho mbaya tu.. Pole imefika😱😱 pole jomoni

Hadi nikahisi uliamua kunifanyia roho mbaya tu.. Pole imefika😱😱 pole jomoni

we ndio mshamba kweli kwa hiyo kupanda public transport ndio mtu amechoka au kuwa njema mnamfananisha mtu na MoHuyo kaka angekuwa njema kimaisha asingepanda mwendokasi..hlf hivi siku hizi kuna wadada bado wanapenda? Mm najua wadada siku hizi mnachotupendea ni pesa tu.. agata edward
huwezijua udhaifu wa hyo jamaa labda anapumuliwa na wanaume wenzakeNimepanda mwendokasi pembeni yangu amekaa kaka mtanashati(hata kimaisha anaonekana yupo njema.) Tangu kimara mpaka sasa tunakaribia jangwani anaongea na simu!yupo bize anambembeleza mpenzi wake jina linaanzia na C warudiane!!ila huyu C anaonekana mgumu sana !!!kaka anakaribia kulia.😀😀 ........Wewe C popote ulipo utamuua mwenzio..nb huyu kaka kutokana na mazungumzo yake sio wa dar...poleni sana wanaume wa mkoani sikujua mapenzi yanawatesa hivi.😛
Nani alikuambia waliosafi Kimaisha hawapandi Mwendokasi??? Unaishi Dar?Huyo kaka angekuwa njema kimaisha asingepanda mwendokasi..hlf hivi siku hizi kuna wadada bado wanapenda? Mm najua wadada siku hizi mnachotupendea ni pesa tu.. agata edward
Oooh sory nilisinzia.Hadi nikahisi uliamua kunifanyia roho mbaya tu.. Pole imefika![]()
Tena wanaongoza kugombea siti😀Nani alikuambia waliosafi Kimaisha hawapandi Mwendokasi??? Unaishi Dar?
Can you now?Oooh sory nilisinzia.
Mos Defn
Huyo kaka angekuwa njema kimaisha asingepanda mwendokasi..hlf hivi siku hizi kuna wadada bado wanapenda? Mm najua wadada siku hizi mnachotupendea ni pesa tu.. agata edward
Umeona eee ila Mimi wananichosha wanavyogombea siti tu 😀Ila kwenye mwendokasi kuna wakaka wasweet sijui ndo wameweka pending vi IST vyao....
Akina sisiUmeona eee ila Mimi wananichosha wanavyogombea siti tu 😀
hata kama anaweza lakini kinamuacha katika sifa mbaya .. like muuza papuchi .mwizi .jambazi.fisadi .muuaji etcUnachoona wewe kwako kigumu mwenzio anaweza.
Oooh sory nilisinzia.
???Can you now?
Vip
Hahahhaha basi tushapoteana
NoCan you now?
Wapi?Hahahhaha basi tushapoteana