FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Kutoka kimara kwenda mjini jioni hakuna watu wengi.
... Ulishuka kituo gani
Kutoka kimara kwenda mjini jioni hakuna watu wengi.
... Ulishuka kituo gani
mkoani ndo wapi huko?Saizi hakuna vurugu.
Atakuwa anajifunza kupenda, umlilie mwanamke amekuwa mama yakoNimepanda mwendokasi pembeni yangu amekaa kaka mtanashati(hata kimaisha anaonekana yupo njema.) Tangu kimara mpaka sasa tunakaribia jangwani anaongea na simu!yupo bize anambembeleza mpenzi wake jina linaanzia na C warudiane!!ila huyu C anaonekana mgumu sana !!!kaka anakaribia kulia.😀😀 ........Wewe C popote ulipo utamuua mwenzio..nb huyu kaka kutokana na mazungumzo yake sio wa dar...poleni sana wanaume wa mkoani sikujua mapenzi yanawatesa hivi.😛
Wewe sina mpenzi humu utasababisha nikose pm😀😛Yule mpenzi wako wa JF mzima?
Mapenzi yanauma .Atakuwa anajifunza kupenda, umlilie mwanamke amekuwa mama yako
Yesagatha edward
Kuna umri wa mapenzi kukuuma, na hii inatokana na kuyaendekeza, usimpende mtu hadi akagundua kuwa akikuzingua tu utabaki unaumia.Mapenzi yanauma .
Mbona jamaa yupo kinyonge sana


Haya maanaune ya usukumani ( sorry mikoani) mashamba sana. Yanadhani uanaume ni kutafuna miwa hadharani na kutembea kwenye lami bila kuvaa viatu. Najua ntashambuliwa wakati hata mimi ni wa mkoani ila nimekulia Dar kwa hisani ya wazazi..Nimepanda mwendokasi pembeni yangu amekaa kaka mtanashati(hata kimaisha anaonekana yupo njema.) Tangu kimara mpaka sasa tunakaribia jangwani anaongea na simu!yupo bize anambembeleza mpenzi wake jina linaanzia na C warudiane!!ila huyu C anaonekana mgumu sana !!!kaka anakaribia kulia.😀😀 ........Wewe C popote ulipo utamuua mwenzio..nb huyu kaka kutokana na mazungumzo yake sio wa dar...poleni sana wanaume wa mkoani sikujua mapenzi yanawatesa hivi.😛
Sijakugongea Like wala nini. Ugomvi wetu utaishia mahakamaniHahahahahahaaa malabuku zakooo (source Babu Asprin) nimejikuta nacheka kwanguvu.
Ila nyie wanaume, kuna niliowasikia wakisema kitu kama hiyo inakuwaga tamuuuuuu halafu yamotoo hehehehee sijui kwelii au wanapamba tuu.