Kweli mapenzi hayana mwenyewe...

Kweli mapenzi hayana mwenyewe...

We nae basi ukatamani akuombe namba hahah....dear C endelea kukaza ili kina Agatha wapate chance...
 
Na vurugu za public transport wanasikilizana je? Ndio madhara ya kuzamia Jiji.
hahaa sure yaani mwendo kasi jinsi inavyojaza vile " unaanza kutoa wapi uajasiri wakuongea mambo nyeti Kama hayo ... huyo kweli itakuwa ametoka mkoani
 
Kwahiyo tayari ushamuelewa mchizi ?
 
hahaa sure yaani mwendo kasi jinsi inavyojaza vile " unaanza kutoa wapi uajasiri wakuongea mambo nyeti Kama hayo ... huyo kweli itakuwa ametoka mkoani
For sure
Ila OP anasema ilikuwa inatoka Kimara kwenda mjini na ilikuwa jion et so hakuna vurugu
 
For sure
Ila OP anasema ilikuwa inatoka Kimara kwenda mjini na ilikuwa jion et so hakuna vurugu
Ahhghh bado hainiingii akili '. zoezi la kumuomba mpenzi wako msamaha linahitaji ukimya/ utulivu mzuri mnoo.. otherwise utakuwa unajizidishia stress tu "
 
Ahhghh bado hainiingii akili '. zoezi la kumuomba mpenzi wako msamaha linahitaji ukimya/ utulivu mzuri mnoo.. otherwise utakuwa unajizidishia stress tu "
Utulivu ukikosekana huez jipanga
 
Nimepanda mwendokasi pembeni yangu amekaa kaka mtanashati(hata kimaisha anaonekana yupo njema.) Tangu kimara mpaka sasa tunakaribia jangwani anaongea na simu!yupo bize anambembeleza mpenzi wake jina linaanzia na C warudiane!!ila huyu C anaonekana mgumu sana !!!kaka anakaribia kulia.😀😀 ........Wewe C popote ulipo utamuua mwenzio..nb huyu kaka kutokana na mazungumzo yake sio wa dar...poleni sana wanaume wa mkoani sikujua mapenzi yanawatesa hivi.😛
Usipokuwa makini yatakuua
 
Huyo kaka angekuwa njema kimaisha asingepanda mwendokasi..hlf hivi siku hizi kuna wadada bado wanapenda? Mm najua wadada siku hizi mnachotupendea ni pesa tu.. agata edward
Siyo kweli kwamba mtu ukishakuwa na Gari huwezi kupanda Mwendokasi au Daladala kuna kipindi kingine inabidi ufanye hivyo.
 
Ahhghh bado hainiingii akili '. zoezi la kumuomba mpenzi wako msamaha linahitaji ukimya/ utulivu mzuri mnoo.. otherwise utakuwa unajizidishia stress tu "
Unachoona wewe kwako kigumu mwenzio anaweza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom