Kweli maisha connection

Kweli maisha connection

Hata humu jf. bila connection unaweza kula ban kizembe kizembe.
Hata ukitaka kwenda kwa Mungu lazima uwe na connection na wajumbe wake wa duniani pamoja na kukili kuwa Yesu ni njia, uzima na ufufuo. Sijui nimechanganya au munazungumzia connection hipi?
kwani wee unajua connection ipi?
 
Hata mm nakumbuka niliingia ofisi fulani na barua yangu ya kumtaka boss wa hapo anipangie majukumu bila kuchelewa.Wakabaki wanauliza uliza mara hatujatumiwa e mail mara kazi zilitangazwa lini mm nawachora tuu ikabidi wakubali kunipokea docs zikafuata baadae huwa wanashangaa docs zangu za dip lakini bodi wanakata chao
Basi wanajuaga mm teeth kumbe connection,
Tuelezee kidogo ilikuwaje
 
Sometimes sio "connection" as such - yaani uchukue yoyote kwa kuwa tu una undugu naye. Wanaita "head-hunting" especially kama kazi husika inahitaji technical know-how. Wakati mwingine supervisor anataka kufanya kazi na mtu reliable, tested na mwenye uzoefu, vitu ambavyo sometimes huwezi kuvipata kwa kuinterview total strangers. So, wanaulizia around na kukusanya CVs chache then wanapick humo. Mimi mwenyewe kuna watu wachache nimeshawavuta kazini kwa kuwa nilifanyaga kazi nao sehemu tofauti na ninajua kwa 90% their capabilities.
Hapo sawa mkuu ingawa yote ni connection inategemea na ile ya kubebwa
 
Hata walio Tiss wote walipata kazi hizo kwa connection,inasikitisha!

Tz bila connection hata msibani unaweza usipate msosi.
Umenikumbusha msiba mmoja nilihudhuria kupata chakula ikawa mpaka connection
 
Brother umeongea jambo zito japo umeongea kimasihara mkuu na mimi unifanyie connection niwe engineer wa ofisini hapo
 
Aiseee nimeajiriwa ofisi moja hapa mjini kwa miezi kadhaa sasa kutokana na ucheshi wangu nimezoeana na watu kwa mda mfupi sana kwenye story story za hapa na pale za wanazengo wenzangu wahapo ofisi bhana kilantakae ingizia neno la imekuwaje uko hapa anasema connection yani karibia staff wote connection hakuna hata aliyefanya interview ni connection duh nikasema duh sasa kina kajambe nani wasio na connection itakula kwao mi mwenye nikajitathimini niko mule kwa connection pia nikasema wote ngoma drooo tuendeleeni kuchapa kazi kimoyo moyo lakini ...kama boss uko humu nisamehee tu maana kazi bado naipenda ila CONNECTION. Kuitwa interview mbwembwe tu
Hahha hahha Mjini Connection
 
kwenye low levels kama hizo za u-employee kwenye mishahara midogomidogo ndo kuna connections ila kwenye ngazi kubwa level ya decision making hapo wanakuaga serious kwenye recruitment. yani huo ndio uti wa mgongo wa kampuni, hapo hawaletagi upuuzi wa connection, wanatafutaga real talent, real expertise, real decision makers.
Unataka kandarasi au zabuni Fulani yenye dhamani nyingi unafikiri utaipataje mkuu.
 
Back
Top Bottom