Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,798
- 26,613
Hakuna sehemu ya kupata connection haswa ukiwa umejibrand vizuri kama kwenye mikutano (conferences) na semina. Hapa unabidi uone ipi ya kwenda japo wengi wanaziogopa sababu nyingine zipo paidmtu hunywi pombe utapataje connection?/Walevi wana roho nzuri mno sijapata kuona
Bar hizi za kawaida hazina connection za maana zaidi ya kupata chances za kusindikiza maisha. Wote mnajikuta average joes



)