Kweli kingereza kigumu

Kweli kingereza kigumu

Ni kweli sio vzr kukashifu dini ya mwenzako, baki na imani yako usiingilie ya mwenzako.

Halafu huyu bint ndio islam jamaa upande wa pili na bint kasoma hizo ni uniform picha ya zamani sana hiyo jamaa kairusha FB baada ya kuachana alidanganya angebadili dini hakubadili bint karudi kwao na hana habari nini kinaendelea mitandaoni. huyu mpuuzi ushamba wake unamfanya aone islam hawajasoma
 
jamani mi ndo hussein khalfan..hayo maneno "I LOVE HIM XO MUCH" aliyasema mke wangu mpendwa siku ya birthday yangu...zen mi nikaandika my wife fetty nikaambatanisha na picha ili mumuone mke wangu aliyetamaka maneno hayo..ni vile tu nilikosea kuweka baadhi ya alama ndo mana ikawa haileti maana

Acha uongo wewe fatu hawezi andika hivyo ukizidi naanika kila kitu kama kweli ni wewe. kwanza hilo jina si lako jina linaanzia na M. pili kama kweli ni huyo kijana sidhani kama anaingia JF. unajua kuchafua imeniuma sana maana bint ananihusu pia inaweza kumletea matatizo kwao. Yaani wewe ni muongo sana yaani unadanganya wote wanakusoma hapa
 
Acha uongo wewe fatu hawezi andika hivyo ukizidi naanika kila kitu kama kweli ni wewe. kwanza hilo jina si lako jina linaanzia na M. pili kama kweli ni huyo kijana sidhani kama anaingia JF. unajua kuchafua imeniuma sana maana bint ananihusu pia inaweza kumletea matatizo kwao. Yaani wewe ni muongo sana yaani unadanganya wote wanakusoma hapa
anika mkuu
 
Back
Top Bottom