mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
ndo anajifunza
Na huyu andike kwa lugha gani?Hayo ni matokeo ya madrasa, bora angeandika kiarabu.
Usiharibu hali ya hewa brother
Kwa Hili Mkuu Sio Sahihi.Hakuna Sababu Ya Kuingiza Imani.
We Are Great Thinkers.The Society Is Expecting Us To See Things In a Big Picture Rather Than Be Distracted In Just Simple Details
Try To Be As Prudent As Possible In Your Comments, So As To Avoid Any Sense Of Unnecessary Ambiguity.
Jamii inatarajia tuwe tunatumia lugha ya kigeni na kufanya code switching kila tunapotaka?Kwa Hili Mkuu Sio Sahihi.Hakuna Sababu Ya Kuingiza Imani.
We Are Great Thinkers.The Society Is Expecting Us To See Things In a Big Picture Rather Than Be Distracted In Just Simple Details
Try To Be As Prudent As Possible In Your Comments, So As To Avoid Any Sense Of Unnecessary Ambiguity.
Hayo ni matokeo ya madrasa, bora angeandika kiarabu.
Hayo ni matokeo ya madrasa, bora angeandika kiarabu.
Jf ingekuwa hivi raha sana,tupambane kuondoa chuki za kidini.
Wazee Mkira, Kyoma, na Matata,
Maneno mazito, na salam zinafika kwani kila mbunge ana mtandao na huwa hizi habari zinasomwa kila siku na huwa zinazungumzwa, hii forum sio wengi wanaoishitukia lakini pole pole wanaingia kwa hiyo hatuongei na ukuta hapa na ni lazima tuendelee kupiga kelele kwa kuheshimu mazingara tuliyonayo ambayo ni ya kuingia humu kwa majina bandia na kumwaga vitu,
Serikali ikiwa right tuseme na ikikosea tuseme zaidi na kupiga kelele kwani in a million time tunawasemea wasioweza kusema, yaani wanyonge na vitabu vyote vya dini yoyote ile vinasema it is ok with the Gods!
Jamii inatarajia tuwe tunatumia lugha ya kigeni na kufanya code switching kila tunapotaka?
On The Contrary!.If You Intent To Emphasize Something.You Can Use Even Chinese, If You Are Extremely Confident To Be Understood.
kacheki afya ya masikio yako mkuu..mbowe hakuongea hivyoNa huyu andike kwa lugha gani?
Zitto is who? (Mbowe)
Hayo ni matokeo ya madrasa, bora angeandika kiarabu.
Na jamii? Ambayo baba anamtoa shule mwanae wa kidato cha kwanza kisa hajui kusoma na kuandika
jamani mi ndo hussein khalfan..hayo maneno "I LOVE HIM XO MUCH" aliyasema mke wangu mpendwa siku ya birthday yangu...zen mi nikaandika my wife fetty nikaambatanisha na picha ili mumuone mke wangu aliyetamaka maneno hayo..ni vile tu nilikosea kuweka baadhi ya alama ndo mana ikawa haileti maana
job true trueMh! For true it is job.