Kweli kingereza kigumu

Kweli kingereza kigumu

Kwa Hili Mkuu Sio Sahihi.Hakuna Sababu Ya Kuingiza Imani.

We Are Great Thinkers.The Society Is Expecting Us To See Things In a Big Picture Rather Than Be Distracted In Just Simple Details

Try To Be As Prudent As Possible In Your Comments, So As To Avoid Any Sense Of Unnecessary Ambiguity.

You are very right mkuu Kiepe Yai.Inabidi tubadilike
 
Last edited by a moderator:
Kwa Hili Mkuu Sio Sahihi.Hakuna Sababu Ya Kuingiza Imani.

We Are Great Thinkers.The Society Is Expecting Us To See Things In a Big Picture Rather Than Be Distracted In Just Simple Details

Try To Be As Prudent As Possible In Your Comments, So As To Avoid Any Sense Of Unnecessary Ambiguity.
Jamii inatarajia tuwe tunatumia lugha ya kigeni na kufanya code switching kila tunapotaka?
 
Wazee Mkira, Kyoma, na Matata,

Maneno mazito, na salam zinafika kwani kila mbunge ana mtandao na huwa hizi habari zinasomwa kila siku na huwa zinazungumzwa, hii forum sio wengi wanaoishitukia lakini pole pole wanaingia kwa hiyo hatuongei na ukuta hapa na ni lazima tuendelee kupiga kelele kwa kuheshimu mazingara tuliyonayo ambayo ni ya kuingia humu kwa majina bandia na kumwaga vitu,

Serikali ikiwa right tuseme na ikikosea tuseme zaidi na kupiga kelele kwani in a million time tunawasemea wasioweza kusema, yaani wanyonge na vitabu vyote vya dini yoyote ile vinasema it is ok with the Gods!

Waalim wao wanakuwaga hivi
 

Attachments

  • 1429986791841.jpg
    1429986791841.jpg
    26.7 KB · Views: 264
Jamii inatarajia tuwe tunatumia lugha ya kigeni na kufanya code switching kila tunapotaka?

On The Contrary!.If You Intent To Emphasize Something.You Can Use Even Chinese, If You Are Extremely Confident To Be Understood.
 
On The Contrary!.If You Intent To Emphasize Something.You Can Use Even Chinese, If You Are Extremely Confident To Be Understood.

Na jamii? Ambayo baba anamtoa shule mwanae wa kidato cha kwanza kisa hajui kusoma na kuandika
 
jamani mi ndo hussein khalfan..hayo maneno "I LOVE HIM XO MUCH" aliyasema mke wangu mpendwa siku ya birthday yangu...zen mi nikaandika my wife fetty nikaambatanisha na picha ili mumuone mke wangu aliyetamaka maneno hayo..ni vile tu nilikosea kuweka baadhi ya alama ndo mana ikawa haileti maana
 
Hayo ni matokeo ya madrasa, bora angeandika kiarabu.

Yaani wewe kweli kilaza. Sio kwamba kingereza kutumika ina maana ni bora kuliko lugha nyingine. Kingereza sio elimu bali ni lugha kama lugha nyingine.Kwa hivyo basi tunatakiwa kujifunza vitu kwa kutumia visual thinking. Unataka kuniambia mataira ya taifa la uingereza wamekuzidi elimu kutokana na wao kujua kingereza? Acha kudharau arabic ww,nina uhakika kwa asilimia zote huyo Yesu hakuwahi kutumia Kingereza na wala hakikuwepo.
Je unajua ya kwamba 97% kingereza imekopa maneno yake kutoka lugha nyingine?
 
Na jamii? Ambayo baba anamtoa shule mwanae wa kidato cha kwanza kisa hajui kusoma na kuandika

Every Child Is Entitled To A Good Education.So Parents Must Be Very Vigilant To Help Their Children To Pursue Their Goals.

There Must Be Check And Balances In Their Decisions To Avoid Negative Effects To Their Children.
 
jamani mi ndo hussein khalfan..hayo maneno "I LOVE HIM XO MUCH" aliyasema mke wangu mpendwa siku ya birthday yangu...zen mi nikaandika my wife fetty nikaambatanisha na picha ili mumuone mke wangu aliyetamaka maneno hayo..ni vile tu nilikosea kuweka baadhi ya alama ndo mana ikawa haileti maana

Mh! For true it is job.
 
Back
Top Bottom