Kweli Kabisa CCM tunashangazwa kuanzia kesho!

Huyu jamaa TAL katika hotuba yake anahutubia kwa Kiswahili na then kwa Kiingereza - maana yake unajua ni nini? Anataka dunia nzima ielewe mambo yale mabaya ambayo pengine yanafanyika Tanzania. Ukweli baya moja tu huweza kuchafua sana sifa ya mtu. Kwa mfano mchukue tu hata askofu ambaye siku zote ana maadili mema na anawaongoza watu vizuri kiimani, siku ikitokea kambaka muumini wake basi stori itakuwa kubwa sana ya kusemwa ubaya wake huo kulik stori ya mema ambayo ameshayafanya. TAL anavuta hisia kubwa sana kimataifa hasa tokana na tukio lake la kucharazwa risasi. Nasikitika sana why JPM hakuwahi kusema jambo kulaani kitendo kile na hata kuelekeza kuwa TAL arudi nyumbani na atampatia ulinzi. Hili linaenda kuharibu sana. Dunian kote hata uwe na uwezo mkubwa kiasi gani watu hujali ubinadamu kwanza. Ona ya George Floyd huko Marekeni - nani aliamini kama watu wanaweza kuwa vile. Nani anaamini hata wanajeshi na Polisi wenyewe kwa kitendo kile wamekilaumu. Mtu asikudanganye ubinadamu ni kila kitu - ni zaidi ya madaraja, njia za treni, barabara, shule bure na hata chakula! TAL alikosewa kuzingatiwa ubinadamu wake na Serikali hii - kwa kweli hili lina gharama. Maneno yake ya kesho yanaleta historia isiyo ya kawaida.

Huyu bwana tukubali tukatae atabadilisha watu sana. Uchaguzi wa Mwaka huu utakuwa mgumu kuliko yote iliyopita. Najua hataongelea kulipiza kisasi ila ataongelea tu ubinadamu unavyobinywa na umaanani unavyowekwa kwenye vitu. Mwenyewe kwa binafsi yangu huwezi kunipa kitu kwa matusi nikakubali hata kama wewe ni tajiri kiasi gani! Kukosekana kwa ubinadamu kumetuharibia CCM, ndiyo maana hata mafly ova ya TAZARA na Ubungo hayajatupa msosi wowote ule na zaidi yake yamezuia nyongeza ya mishahara ya walioko kazini.
Katika maongezi yake hayo atawafikia watanzania wangapi ambao ni wapiga kura? Achana na wale wa mitandaoni wengine wakiwa inje ya nchi.

Kwa ujumla hakuna jipya hapo na wala haisaidii chochote kwenye uchaguzi mkuu.
 
Nilimuona Tundu Lisu mpuuzi wakati Nchi nzima serikali na wananchi wanashirikiana katika ujenzi wa vyumba vya madarasa na maabara yeye anawashawishi wananchi wa jimbolake wasishiriki katika kuchangia. Wakati yeye watoto wake wanasoma shule za kishua.

Sent from my moto g(7) play using JamiiForums mobile app
 
Nilimuona Tundu Lisu mpuuzi wakati Nchi nzima serikali na wananchi wanashirikiana katika ujenzi wa vyumba vya madarasa na maabara yeye anawashawishi wananchi wa jimbolake wasishiriki katika kuchangia. Wakati yeye watoto wake wanasoma shule za kishua.

Sent from my moto g(7) play using JamiiForums mobile app

Wananchi maskini walilazimishwa kuchangia huo ujenzi wakati wizi wa pesa za serikali
umetamalaki. Hata mimi niliupinga ubaradhuli ule.
 
hana jipya,kajiuza weeee mara VOA mara BBC mara kakutana na wajumbe wa Congress, imebadilisha nini sasa? kiufupi,dishi limeyumba yule.
 
Huyu jamaa TAL katika hotuba yake anahutubia kwa Kiswahili na then kwa Kiingereza - maana yake unajua ni nini? Anataka dunia nzima ielewe mambo yale mabaya ambayo pengine yanafanyika Tanzania. Ukweli baya moja tu huweza kuchafua sana sifa ya mtu. Kwa mfano mchukue tu hata askofu ambaye siku zote ana maadili mema na anawaongoza watu vizuri kiimani, siku ikitokea kambaka muumini wake basi stori itakuwa kubwa sana ya kusemwa ubaya wake huo kulik stori ya mema ambayo ameshayafanya. TAL anavuta hisia kubwa sana kimataifa hasa tokana na tukio lake la kucharazwa risasi. Nasikitika sana why JPM hakuwahi kusema jambo kulaani kitendo kile na hata kuelekeza kuwa TAL arudi nyumbani na atampatia ulinzi. Hili linaenda kuharibu sana. Dunian kote hata uwe na uwezo mkubwa kiasi gani watu hujali ubinadamu kwanza. Ona ya George Floyd huko Marekeni - nani aliamini kama watu wanaweza kuwa vile. Nani anaamini hata wanajeshi na Polisi wenyewe kwa kitendo kile wamekilaumu. Mtu asikudanganye ubinadamu ni kila kitu - ni zaidi ya madaraja, njia za treni, barabara, shule bure na hata chakula! TAL alikosewa kuzingatiwa ubinadamu wake na Serikali hii - kwa kweli hili lina gharama. Maneno yake ya kesho yanaleta historia isiyo ya kawaida.

Huyu bwana tukubali tukatae atabadilisha watu sana. Uchaguzi wa Mwaka huu utakuwa mgumu kuliko yote iliyopita. Najua hataongelea kulipiza kisasi ila ataongelea tu ubinadamu unavyobinywa na umaanani unavyowekwa kwenye vitu. Mwenyewe kwa binafsi yangu huwezi kunipa kitu kwa matusi nikakubali hata kama wewe ni tajiri kiasi gani! Kukosekana kwa ubinadamu kumetuharibia CCM, ndiyo maana hata mafly ova ya TAZARA na Ubungo hayajatupa msosi wowote ule na zaidi yake yamezuia nyongeza ya mishahara ya walioko kazini.
Lissu anatakiwa kuongele nyufa kama ilivyokuwa mwaka 1995, hotuba ya nyererre aliongelea nyufa tu siyo watu

1. Kurudisha Demokrasia
2. Kurudisha Umoja wa kitaifa
3. Kurejesha Uhuru wa watu, Uhuru wa habari
Uhuru wa kukutana, Uhuru wa
Kiuchumi
5. Kufuta Sheria kandamizi za uonevu
6. Mchato wa Katiba mpya
7 kuangukauchumi
8 kuzorota kwa diplomasia na uhhusiano wa kimataifa
9 kuongezeka kwarushwana ufisadi
 
Wanasema hana jipya lakini ndio wa kwanza kukomment kwenye huu uzi si mkae kimya kama hana jipya ni kwavile hamjui tu jinsi jipu “M“ hata nayeye hufu ilivyomshika.
 
Huyu naye anaenda kuwa raisi wa mioyo yenu kama lowassa, sio kila mtu anaweza kuwa raisi wa Tanzania.
 
Nimesoma nikijaribu Kuelewa nini maana ya TAL. Nikawa na hisia. Baadaye nikaanza kuhisi umri wako na kiwango cha uelewa wako. Kwa ufupi wewe ni kijana wa miaka kati ya 23 - 25. Tatizo ni uelewa wako uko chini ya umri wako. Ulitakiwa uwe na uelewa zaidi ya hapo. Bado unaamini ukipiga kelele sana, Ukaongea kiswahili na kiingereza nje wakakusikia, hatimaye unapata kura za wa-TZ? Huo si ujinga? Au unaona kuna mtaji ndani yake?

Nakupa ushauri. Jitahidi kujisomea vitabu vya maana, magazeti ya maana na usikilize taarifa za maana kwenye redio na TV. Achana na kukariri majina ya wachezaji mpira. Hawana lolote ktk ubongo wako.
Umaishia kumshambulia mtu tu, nawew pia utashangaa na Phd holder
 
Tafakari kidogo tu.Miundombinu aliyojenga Gadaff na miundo mbinu yetu.Miundo mbinu aliyojenga Hitler akiwa kiongozi wa Ujerumani.Maendeleo ya vitu bila Demokracy yana maisha mafupi sana.Urusi ina collapse kidogo kidogo,eastern europe imekwisha.Tafakari kidogo tu.
Idd amini dikteta alinunua ndege 64 ndie aliyeijenga Uganda mwanae amejaribu wwee kumsafisha baba yake lkn asafishiki hata kwa asid, ukiwatendea mabaya wenzio means umeibomoa image ya kizazi chako forever.Binadamu ukumbukwa kwa mabaya zaidi
 
Lissu anatakiwa kuongele nyufa kama ilivyokuwa mwaka 1995, hotuba ya nyererre aliongelea nyufa tu siyo watu

1. Kurudisha Demokrasia
2. Kurudisha Umoja wa kitaifa
3. Kurejesha Uhuru wa watu, Uhuru wa habari
Uhuru wa kukutana, Uhuru wa
Kiuchumi
5. Kufuta Sheria kandamizi za uonevu
6. Mchato wa Katiba mpya
7 kuangukauchumi
8 kuzorota kwa diplomasia na uhhusiano wa kimataifa
9 kuongezeka kwarushwana ufisadi
Atoe matumaini kwa Makundi muhimu ktk Jamii,
Wafanyakazi wasipokuwa makini wakarudia kosa wasilaumu watu mbeleni hata mishahara wategemee kukopwa
 
Huyu jamaa TAL katika hotuba yake anahutubia kwa Kiswahili na then kwa Kiingereza - maana yake unajua ni nini? Anataka dunia nzima ielewe mambo yale mabaya ambayo pengine yanafanyika Tanzania. Ukweli baya moja tu huweza kuchafua sana sifa ya mtu. Kwa mfano mchukue tu hata askofu ambaye siku zote ana maadili mema na anawaongoza watu vizuri kiimani, siku ikitokea kambaka muumini wake basi stori itakuwa kubwa sana ya kusemwa ubaya wake huo kulik stori ya mema ambayo ameshayafanya. TAL anavuta hisia kubwa sana kimataifa hasa tokana na tukio lake la kucharazwa risasi. Nasikitika sana why JPM hakuwahi kusema jambo kulaani kitendo kile na hata kuelekeza kuwa TAL arudi nyumbani na atampatia ulinzi. Hili linaenda kuharibu sana. Dunian kote hata uwe na uwezo mkubwa kiasi gani watu hujali ubinadamu kwanza. Ona ya George Floyd huko Marekeni - nani aliamini kama watu wanaweza kuwa vile. Nani anaamini hata wanajeshi na Polisi wenyewe kwa kitendo kile wamekilaumu. Mtu asikudanganye ubinadamu ni kila kitu - ni zaidi ya madaraja, njia za treni, barabara, shule bure na hata chakula! TAL alikosewa kuzingatiwa ubinadamu wake na Serikali hii - kwa kweli hili lina gharama. Maneno yake ya kesho yanaleta historia isiyo ya kawaida.

Huyu bwana tukubali tukatae atabadilisha watu sana. Uchaguzi wa Mwaka huu utakuwa mgumu kuliko yote iliyopita. Najua hataongelea kulipiza kisasi ila ataongelea tu ubinadamu unavyobinywa na umaanani unavyowekwa kwenye vitu. Mwenyewe kwa binafsi yangu huwezi kunipa kitu kwa matusi nikakubali hata kama wewe ni tajiri kiasi gani! Kukosekana kwa ubinadamu kumetuharibia CCM, ndiyo maana hata mafly ova ya TAZARA na Ubungo hayajatupa msosi wowote ule na zaidi yake yamezuia nyongeza ya mishahara ya walioko kazini.
Upuuzi huu
 
Huyu jamaa TAL katika hotuba yake anahutubia kwa Kiswahili na then kwa Kiingereza - maana yake unajua ni nini? Anataka dunia nzima ielewe mambo yale mabaya ambayo pengine yanafanyika Tanzania. Ukweli baya moja tu huweza kuchafua sana sifa ya mtu. Kwa mfano mchukue tu hata askofu ambaye siku zote ana maadili mema na anawaongoza watu vizuri kiimani, siku ikitokea kambaka muumini wake basi stori itakuwa kubwa sana ya kusemwa ubaya wake huo kulik stori ya mema ambayo ameshayafanya. TAL anavuta hisia kubwa sana kimataifa hasa tokana na tukio lake la kucharazwa risasi. Nasikitika sana why JPM hakuwahi kusema jambo kulaani kitendo kile na hata kuelekeza kuwa TAL arudi nyumbani na atampatia ulinzi. Hili linaenda kuharibu sana. Dunian kote hata uwe na uwezo mkubwa kiasi gani watu hujali ubinadamu kwanza. Ona ya George Floyd huko Marekeni - nani aliamini kama watu wanaweza kuwa vile. Nani anaamini hata wanajeshi na Polisi wenyewe kwa kitendo kile wamekilaumu. Mtu asikudanganye ubinadamu ni kila kitu - ni zaidi ya madaraja, njia za treni, barabara, shule bure na hata chakula! TAL alikosewa kuzingatiwa ubinadamu wake na Serikali hii - kwa kweli hili lina gharama. Maneno yake ya kesho yanaleta historia isiyo ya kawaida.

Huyu bwana tukubali tukatae atabadilisha watu sana. Uchaguzi wa Mwaka huu utakuwa mgumu kuliko yote iliyopita. Najua hataongelea kulipiza kisasi ila ataongelea tu ubinadamu unavyobinywa na umaanani unavyowekwa kwenye vitu. Mwenyewe kwa binafsi yangu huwezi kunipa kitu kwa matusi nikakubali hata kama wewe ni tajiri kiasi gani! Kukosekana kwa ubinadamu kumetuharibia CCM, ndiyo maana hata mafly ova ya TAZARA na Ubungo hayajatupa msosi wowote ule na zaidi yake yamezuia nyongeza ya mishahara ya walioko kazini.
Niliwafahamu vizuri Wabongo wenzangu pale TL alipopigwa risasi. Wanakutia ujinga lakini kiuhalisia hawapo na wewe. TL bado hajajifunza hilo.
 
Back
Top Bottom