Kweli Kabisa CCM tunashangazwa kuanzia kesho!

Kweli Kabisa CCM tunashangazwa kuanzia kesho!

atakuja kugombea uraisi?

Mabeberu watakuwa wanamsindikiza kwa mbaali na wapelelezi wao

This time akiumizwa nakuambia yale ya Idd Amin Dada na Waesrael yanaweza tokea

Au wamarekani na osama pakistan

Au wamarekani na Saddam Hussain

Au kulee libya ya Muamal Ghadaf

Lolote lakustajabisha laweza kutokea kwa mabeberu.
 
Mwenyewe kwa binafsi yangu huwezi kunipa kitu kwa matusi nikakubali hata kama wewe ni tajiri kiasi gani! Kukosekana kwa ubinadamu kumetuharibia CCM, ndiyo maana hata mafly ova ya TAZARA na Ubungo hayajatupa msosi wowote ule na zaidi yake yamezuia nyongeza ya mishahara ya walioko kazini.
Naunga mkono hoja, madaraja hayametunyima nyongeza ya mishahara.
 
Huyu jamaa TAL katika hotuba yake anahutubia kwa Kiswahili na then kwa Kiingereza - maana yake unajua ni nini? Anataka dunia nzima ielewe mambo yale mabaya ambayo pengine yanafanyika Tanzania. Ukweli baya moja tu huweza kuchafua sana sifa ya mtu. Kwa mfano mchukue tu hata askofu ambaye siku zote ana maadili mema na anawaongoza watu vizuri kiimani, siku ikitokea kambaka muumini wake basi stori itakuwa kubwa sana ya kusemwa ubaya wake huo kulik stori ya mema ambayo ameshayafanya. TAL anavuta hisia kubwa sana kimataifa hasa tokana na tukio lake la kucharazwa risasi. Nasikitika sana why JPM hakuwahi kusema jambo kulaani kitendo kile na hata kuelekeza kuwa TAL arudi nyumbani na atampatia ulinzi. Hili linaenda kuharibu sana. Dunian kote hata uwe na uwezo mkubwa kiasi gani watu hujali ubinadamu kwanza. Ona ya George Floyd huko Marekeni - nani aliamini kama watu wanaweza kuwa vile. Nani anaamini hata wanajeshi na Polisi wenyewe kwa kitendo kile wamekilaumu. Mtu asikudanganye ubinadamu ni kila kitu - ni zaidi ya madaraja, njia za treni, barabara, shule bure na hata chakula! TAL alikosewa kuzingatiwa ubinadamu wake na Serikali hii - kwa kweli hili lina gharama. Maneno yake ya kesho yanaleta historia isiyo ya kawaida.

Huyu bwana tukubali tukatae atabadilisha watu sana. Uchaguzi wa Mwaka huu utakuwa mgumu kuliko yote iliyopita. Najua hataongelea kulipiza kisasi ila ataongelea tu ubinadamu unavyobinywa na umaanani unavyowekwa kwenye vitu. Mwenyewe kwa binafsi yangu huwezi kunipa kitu kwa matusi nikakubali hata kama wewe ni tajiri kiasi gani! Kukosekana kwa ubinadamu kumetuharibia CCM, ndiyo maana hata mafly ova ya TAZARA na Ubungo hayajatupa msosi wowote ule na zaidi yake yamezuia nyongeza ya mishahara ya walioko kazini.
Nimesoma nikijaribu Kuelewa nini maana ya TAL. Nikawa na hisia. Baadaye nikaanza kuhisi umri wako na kiwango cha uelewa wako. Kwa ufupi wewe ni kijana wa miaka kati ya 23 - 25. Tatizo ni uelewa wako uko chini ya umri wako. Ulitakiwa uwe na uelewa zaidi ya hapo. Bado unaamini ukipiga kelele sana, Ukaongea kiswahili na kiingereza nje wakakusikia, hatimaye unapata kura za wa-TZ? Huo si ujinga? Au unaona kuna mtaji ndani yake?

Nakupa ushauri. Jitahidi kujisomea vitabu vya maana, magazeti ya maana na usikilize taarifa za maana kwenye redio na TV. Achana na kukariri majina ya wachezaji mpira. Hawana lolote ktk ubongo wako.
 
Mabeberu watakuwa wanamsindikiza kwa mbaali na wapelelezi wao

This time akiumizwa nakuambia yale ya Idd Amin Dada na Waesrael yanaweza tokea

Au wamarekani na osama pakistan

Au wamarekani na Saddam Hussain

Au kulee libya ya Muamal Ghadaf

Lolote lakustajabisha laweza kutokea kwa mabeberu.
ok, tusubiri kesho tumsikie anasemaje.
 
Bila kukubeza, jaribu kufanya hesabu ndogo ya kichwa - ni wangapi wata ona ubinadamu unaousemea na kulinganisha na miundo mbinu iliyo tengeneza halafu wachague Lissu kwa ubinadamu! Nafikiri watakuwa wachache sana.
Ila tusubiri tusikie atatupa nini.
Ila namshauri apunguze jazba, aongee kama anatupenda. Analipenda taifa nasi tunampenda. Lakini akivutia kwa mabeberu yatamshinda kabla haja anza
Mkuu umeandika na umefikilia nje ya box
sisi wengine tunasubili sheria ya Mgombea
binafsi hatuna vyama but sio kigezo cha
Kutoipenda nchi yangu na hatuna chuki
na Chama chochote ,sisi tunataka hukija
kwetu basi uje na hoja za msingi tukupime
na tukupe kura ,na sisi so lazima Chama
kimoja kipate kura zote kuanzia Diwani mpaka rais big no,labda itokee wrote walio
Simama tunawaelewa madin yao ,
Na tuko wengi asikudanganye MTU
Sasa kwa hoja hii ,nilisha sema na narudia
Chama dola kijipange uchaguzi wa mwaka
huu ,lissu anajua akifanyacho ila mkimzalau bila kutokua na mikakati mizuri
Mtakipata cha mtema kuni mapema
kama sio kesho yake .
ANGALIZO
Sisemi hivi kwamba naombea Ccm ishinde
No,hata CHADEMA Ongeza mikakati
ya kuchukua dola binafsi chochote Chama
kitakacho shinda is OK maana kila Chama
cha siasa lengo kuu nikuleta maendeleo
kwa wananchi so I don't care even if
Is CHAUMA,all the best
 
Huko huko aliko lakini hata kwetu Idukilo, Kishapu, Shinyanga tutamsikia kaka. Usifikiri kuwa jamii yetu bado ipo kwenye remote area kama miaka mitano iliyopita. Kwa sasa ni mawasiliano yanafika kwingi sana. Hata bibi yangu juzi kaoneshwa clip ya George Floyd amewekewa goti huku huku Idukilo na bibi akaumia sana. Fikir nje ya box cop!
Na hayo ndio matunda ya JPM umeweza kumuonyesha bibi yako had video kutokana na njia za mawasiliano kufunguka had kwenu. Tofaut na miaka mitano iliyopita. Hongera kwa kujua mchango wa mzee wetu magu. Subir uo uchaguzi mgumu uone
 
Mkuu umeandika na umefikilia nje ya box
sisi wengine tunasubili sheria ya Mgombea
binafsi hatuna vyama but sio kigezo cha
Kutoipenda nchi yangu na hatuna chuki
na Chama chochote ,sisi tunataka hukija
kwetu basi uje na hoja za msingi tukupime
na tukupe kura ,na sisi so lazima Chama
kimoja kipate kura zote kuanzia Diwani mpaka rais big no,labda itokee wrote walio
Simama tunawaelewa madin yao ,
Na tuko wengi asikudanganye MTU
Sasa kwa hoja hii ,nilisha sema na narudia
Chama dola kijipange uchaguzi wa mwaka
huu ,lissu anajua akifanyacho ila mkimzalau bila kutokua na mikakati mizuri
Mtakipata cha mtema kuni mapema
kama sio kesho yake .
ANGALIZO
Sisemi hivi kwamba naombea Ccm ishinde
No,hata CHADEMA Ongeza mikakati
ya kuchukua dola binafsi chochote Chama
kitakacho shinda is OK maana kila Chama
cha siasa lengo kuu nikuleta maendeleo
kwa wananchi so I don't care even if
Is CHAUMA,all the best
Apati hata robo ya kura yule bwana mkubwa elewa sio unawaza kwa hisia zako, waza kwa ubongo wako jiwe atashinda kwa kura za kutosha tuu. Endelea kusubir ndege bandarini
 
Tila-lila2,
Uchambuzi murua kabisa. Na hakika CCM Mpya na serikali yake inaona siku ya Jumatatu tarehe ya mwezi June 8, 2020 bora ifike haraka.

Maana CCM Mpya na viongozi wao mapigo yao ya mioyo , kuweweseka, ndoto za jinamizi, pressure na msongo wa mawazo umefika kiwango cha juu sana kisicho himilika na hii kuisubiri kesho ni mateso makubwa kwao lakini ndiyo hivyo tena wavumilie tu. Wavune walichopanda.
 
Kesho tundulisu akifikisha watu elf mbili watao msikiliza kwenye Facebook bas atafaa kua hata diwan
 
Mtaziweka humu nyie wenyewe mie sina huo muda mchafu. Nikiingia humu kesho nitakuta mmeziweka wenyewe...

Usifunguwe huo uzi. Ukifunguwa nikama kubisha hodi mlangoni kwa shida zako.

Wewe kaa mbali wala hutabughuziwa na usisome kabisa.
 
Huyo akiachiwa tumpigie kura bila hujuma

Ccm mkipata 10% mkatambike.

Ni hujuma pekee ndio inakufanya useme hana impact.



Hana impact kbsa huyu, labda mbio za ushuzi wa kupayuka, wenzake wapo wanakula mabilioni ya ruzuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom