Baba Sharon
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 373
- 248
Takabal Allahu minah waminkumEid Mubarak
Takabal Allahu minah waminkumEid Mubarak
.......yes, it iz, hii thread inatutumia bure!Rais Kikwete amjulia hali Msaanii ''mwenzake'' Vengu wa Zekomedy.
View attachment 40645View attachment 40646
Hivi kweli siku zooooote alizokaa ikulu hadi asikie msanii mwenzake anaumwa ndio aende hospitalini!!!! Kuna wagonjwa wangapi muhimbili, mwananyamala etc?
Is this real news?
Kumbe siku hizi ukiumwa unazawadiwa na raisi wa nchi! makubwa!!jamani JK akitembelea wagonjwa anaitwa msanii! Ametembelea wagonjwa na jana ametoa zawadi ya mbuzi na mchele kwa wagonjwa
Wewe ni muongo mkubwa, watanzania wote tunajua kuwa yeye ni mtu wa mafisadi wakubwa na sio watu wa kawada.Siyo msanii. Ukweli ni kuwa moja ya mambo yaliyomfanya Mheshimiwa ashinde kwa kishindo (80%) mwaka 1995 ni tabia ya kuwatembelea wagonjwa na kushiriki kwenye misiba ya watu mbalimbali bila kujali vyeo au nafasi zao. Na kama umemfuatilia amekuwa akitumia hii "strength" yake vizuri sana kujenga picha kuwa yeye ni mtu wa watu wa kawaida. Na ninaamini kuwa amefanikiwa sana katika hili.
tungo zako ni tata kama jina lako. pamoja na utata uliopo sijui kama unaweza kututhibitishia kuwa kati ya mwaka 2005 na 2010 hakuwa na mahudhurio mazuri kwenye misiba na wagonjwa ndio maana kura zikapungua au??Siyo msanii. Ukweli ni kuwa moja ya mambo yaliyomfanya Mheshimiwa ashinde kwa kishindo (80%) mwaka 1995 ni tabia ya kuwatembelea wagonjwa na kushiriki kwenye misiba ya watu mbalimbali bila kujali vyeo au nafasi zao. Na kama umemfuatilia amekuwa akitumia hii "strength" yake vizuri sana kujenga picha kuwa yeye ni mtu wa watu wa kawaida. Na ninaamini kuwa amefanikiwa sana katika hili.
Sisi tunapoleta maendeleo yeye na mafisadi wake wanahujumu, sasa tumsaidiaje? kumbe wewe nawe huna maana kama yeye vile!Duh! Nadhani tupo kwenye jukwaa la siasa lakini hatujui siasa. Kwanza hapa wote sio wapiga kura. Mpiga kura ndo huyo Vengu. Sasa ukiwa mwanasiasa na kiongozi utamtembelea Vengu au nyie mnaopinga kila kitu humu? Mmejazwa negativity katika kila jambo.
Acheni porojo, JK pekEe yake hawezi kuleta maendeleo humu Tanzania. Na nyie msaidieni sio kupinga tuu.
Kwani wewe kuwatembelea wagonjwa inasaidia nini wakati hakuna madawa vijijini ,hio pesa ya diesel kwenye msafara wake magari 30 si ingenunua dawa,halafu hii ya kutoa mbuzi kwenye sikuukuu tu kwanini asiwasaidie kuanzisha miradi ya kuwasaidia siku zote? watz wengi wanamatatizo ya mitaji ,kwani ccm wameuza mashirika na viwanda vyetu vyote kwa wahindi
Wakuu dogo anaumwa serious, wala hakuna haja ya kumjadili ****** kwa kumtembelea, inafaa tujiulize namna atakavyo msaidia ukizingatia walizunguka naye nchi nzima kwenye kampeni zao magamba na wao walichangia 'kumuweka madarakani'. They need to reward him for the job they did for the magamba! And the best they can do for him is to find the best treatment of his disease the soonest.
jamani JK akitembelea wagonjwa anaitwa msanii! Ametembelea wagonjwa na jana ametoa zawadi ya mbuzi na mchele kwa wagonjwa
jamani JK akitembelea wagonjwa anaitwa msanii! Ametembelea wagonjwa na jana ametoa zawadi ya mbuzi na mchele kwa wagonjwa